Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Uchunguzi ufanyike kwa kina na Polisi ijulikane ni kweli huyo katibu kajiua ye mwenyewe au wahuni wa mjini washakamilisha yao kisha wakacheza sarakasi za changa la machoHuyo mwanamke aache ujinga. Hakuna mwanamme anayeweza kudamehe umalaya, Tena ndani ya penalty area. Jamaa kajifanya amesamehe kumbe anamfanyia timing
Hivi kuna mtu anaamini hizi taarifa?
Wakati wote ni sanaa tuView attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
Bado pilipili nae ana upuuzi kama wa jamaa yake tena yule wakimla mkewe nahisi yeye ndio atajinyonga [emoji23][emoji23]Nasubiri pole ya Mc pilipili kwa Masanja [emoji23]
karma... ukiona mtu kakubal tukio km hlo simple simple tu bc jua na yy kuna tukio alishawah kulifnya hapo zaman...View attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
Ndio ukweli wenyewe na hiyi mbinu wanatumia wanaume wenye vifua sio wavulana wenyewe kupaka mkongoHuyo mwanamke aache ujinga. Hakuna mwanamme anayeweza kudamehe umalaya, Tena ndani ya penalty area. Jamaa kajifanya amesamehe kumbe anamfanyia timing
Mke wake Ana nnyaaa kwerkwerHv MC Pilipili naye c msikii siku Hz naye n Moja ya wachungaji wanao expose wake zao.
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Mwenye kukandamiziwa mke amekubali kwamba katibu alikua anamsaidia kugusa pale yeye aliposhindwa kugusa. Wewe Ni Nani uwe na mashaka? Au unautaka ukatibu uwe tabibu?Hivi kuna sehemu iliyoandikwa kuwa aliyekuwa analiwa ni Monica wa Masanja au kwa sababu jina tu ni Monica basi mnaunganisha matukio. Mitandao inatupeleka pabaya sana sisi watz
KwaniniNasubiri pole ya Mc pilipili kwa Masanja [emoji23]
Wewe umewahi kuwa na bikra? Halafu ukakimbia bado ikibakia? Tuanze hapo
Mpuuzi tu huyo. Anaacha kutumia nguvu kubwa kustawisha penzi kwa mke wake, yeye anawekeza kwenye u chawa, na kuhubiri UZURI WA TOZO kwenye madhabahu!Sio bure na yeye atakua muumin wa michepuko tu kaweka jambo kwenye mizani kaona liishe tu ila madem wana siri hawa
Nimelisema hili kwenye uzi mwingineItakuwa kamu assassinate kitaalamu kwa kutumia nguvu za asili za mababu/ulimwengu huu yaani unamuondoa ili ubaki na mke kwa amani wengi hamjawaza hilo
[emoji23]Mungu samehe .Kale katoto ka kwanza Kama kamefanana na katibu jamenoooo
Hivi katibu alianza kuratibu Mambo kitambo?Mungu samehe .Kale katoto ka kwanza Kama kamefanana na katibu jamenoooo