ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,417
- 9,604
Zipo njiani😂😂😂😂Zile bajaj na guta za iran zimefika wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo njiani😂😂😂😂Zile bajaj na guta za iran zimefika wapi?
Zile balozi ndio zinatumika kuwapa ufadhili vikundi vya kigaidi vinavyoisumbua IsraelMi mwenyewe natamani tufike hii hatua. Israeli hakuwa na sababu yoyote ya msingi kushambulia ule ubalozi. Ni ubabe tu usio na msingi
Ngoja tuoneNina uhakika hizo drone zikikaribia fika tu Cruise na Ballistic zitahusika, hizi siku 7 zitakuwa mbaya kwa pande zote na kuna nchi zitajikuta zinapigwa kimakosa
Juzi kati gps ya ndege ya waziri wa ulinzi wa UK ilikuwa jammed, hii ni version ipi?Hizo ni GPS za kiraia tu. GPS ya kijeshi ya Marekani haiwezi kuwa jammed; iko katika level tofauti sana na zile za kiraia.
Zilikuwa zinapita Suleymania Iraq juu ya Mitende.Zile bajaj na guta za iran zimefika wapi?
Huyu lazima apigike ili iwe rahisi kumpiga Iran, maana ili Israel ashinde kwa kiasi ni lazima azame hadi ndaniHawa Syria wanatafutwa kubondwa, hizo Pantsir wanazo siku zote lakin still wanachezea kichapo kila Leo
⚡#BREAKING Syria puts on high alert its Russian-made pantsir ground-to-air defence systems around capital and major bases, army sources say — Reuters
Waambie wapambane hizo guta angalau zifike hata mbili jamani 🤣🤣 nimebeti kobazi zangu, zisije chukuliwa 🤣Zipo njiani😂😂😂😂
Iran hata wakifunga F35 za US na IDF zote ni Steath zitaingia hadi chumbani kwa Ayatolah bila ya yeye kustuka.Iran wamefunga anga na Israel kafunga lake
Nachungulia habari zote za Dunia sasa naangalia RT
Ni kweli kabisa,na haya mashambulizi ya leo ya Iran ndo yataaamua hii ligi inaendajeNina uhakika hizo drone zikikaribia fika tu Cruise na Ballistic zitahusika, hizi siku 7 zitakuwa mbaya kwa pande zote na kuna nchi zitajikuta zinapigwa kimakosa
Je Iran ataipiga Jordan kwa kuruhusu anga lake kutumika?[emoji1137][emoji1258][emoji1134][emoji1130][emoji298]️Jordan has opened its airspace to Israeli Air Force fighters.
Together with American aircraft, they are intercepting Iranian drones.
Jamani waambieni wajitahidi, hizo guta angalau zifike mbili tu, tupate cha kutambia.Zilikuwa zinapita Suleymania Iraq juu ya Mitende.