Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Israeli wameshaanza kuomba msaada 🙄



Israeli officials told Axios that "the plan is to intercept many of the drones with the help of the U.S. and other countries outside Israeli air space."
Hawaaminiki, mara zote wanachosema ni kupoteza maboya
 
Saudi Arabia kajiunga na Israel kuzuia drone zisielekee Israel
Hapo sasa ndio huwa nawaambia WASUNN wa TANZAGIZA
ONYL IRAN na AFGHANISTAN hizo ndizo DOLA ISLAMIC pekee zinazosimamia misingi ya ISLAMIC na Zinazopipigania UISLAM na MASLAHI yake

lakini wajomba hawawezi kukuelewa sasa WAHABI WASUFI nk
Kama ni habari za kweli Sijui wataficha wapi Sura zao baada kuona SUNNI mwenzao kamsaidia kafiri ISLAEL patamu hapo
 
Mbona iran sitaki nataka? Watu tunasema vita ianze yeye anasema malengo yametimia

Malengo gani wakati vipulizo vyake vinashisushwa
 
Faana
Raia wengine walitoka wa Iran kwenda mtaani kushangilia baada ya serikali kuanza mashambulizi dhidi ya Israel.
 

Attachments

  • Iran0_20240413__1779268311689171446_1_17792682939808071680.mp4
    755.9 KB
Faana
Raia wengine walitoka wa Iran kwenda mtaani kushangilia baada ya serikali kuanza mashambulizi dhidi ya Israel.
Tushukuru amani tuliyo nayo

1713062789123.png
 
Mtu mpk ana jam GPS mashariki ya kati yote imepotea huyo si wa mchezo mchezo

Iran anatushia tu hawezi jaribu
Bro vitu vimeingia ndani ya israel despite kujam GPS na maelecyromic warafare devices ya wazungu wala nini drones zinatembea kilometa 1500 na zinafika zinakotakiwa zifike mpersia mwamba aisee hii naona ni kutuma ujumbe kwa ulimwengu oneni ,je mmeona na kweli tumeona.
 
Bro vitu vimeingia ndani ya israel despite kujam GPS na maelecyromic warafare devices ya wazungu wala nini drones zinatembea kilometa 1500 na zinafika zinakotakiwa zifike mpersia mwamba aisee hii naona ni kutuma ujumbe kwa ulimwengu oneni ,je mmeona na kweli tumeona.
Vimeingia ndani wapi vimejifia mbali
 
Mbona iran sitaki nataka? Watu tunasema vita ianze yeye anasema malengo yametimia

Malengo gani wakati vipulizo vyake vinashisushwa
Kunakuwa na plan 1 plan 2 plan 3 na nakuendelea

Moja ya malengo ni kuonesha kuwa yeye mwanaume na anaweza
Kuonesha anazo silaha ambazo anaweza kufanya chochote wakati wowote nchi yoyote
Sasa hapo Vidrone 100 tu vimeisimamisha DUNIA kwa muda tu
Huoni kiwa malengo yametimia
Au wewe ulitaka apige kwa kuvizia kwenye BALOZI za ISRAEL
IRAN mwanaume wa SHOKA
Yaan ni kama anamuambia EX WAKE aliezaa nae"NAKUJA KUMUONA MTOTO NA NITALALA HUKO"
ndicho alichomfanyia ISRAEL katuma DRONE kisha akampa taarifa PANUA PAJA MKUJENGEJE unakuja
Vitu viko hewani hvyo vyaja kama mvua
 
Back
Top Bottom