Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Sawa mkosa rinder wa kkkt magomeni uliefuata maamrisho ya yeshu na papa kufukuana mitaroSawa askari wa pemba mzungumzie issa YESU humjui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkosa rinder wa kkkt magomeni uliefuata maamrisho ya yeshu na papa kufukuana mitaroSawa askari wa pemba mzungumzie issa YESU humjui.
Hii yapa nimetumiwa. Hizbullah nao wametangaza operation dhidi ya Israel. Mashambulizi waliyoyafanya sasa hivi.Share nasi kwa hisani ya Hammaz
Hii nilitegemea kabisaSaudi Arabia kajiunga na Israel kuzuia drone zisielekee Israel
Zingine ni habari bandia Iran haiwezi kutumia anga ya Saudia sana sana itatumia anga ya Syria na Iraq.Saudi Arabia kajiunga na Israel kuzuia drone zisielekee Israel
Yule ni mtoto wake anamuadhibu polepoleLeo ni hatari, hata Urusi angetumia hii njia angekuwa anakula kuku Kyiv
Hawaaminiki, mara zote wanachosema ni kupoteza maboyaIsraeli wameshaanza kuomba msaada 🙄
Israeli officials told Axios that "the plan is to intercept many of the drones with the help of the U.S. and other countries outside Israeli air space."
Hapo sasa ndio huwa nawaambia WASUNN wa TANZAGIZASaudi Arabia kajiunga na Israel kuzuia drone zisielekee Israel
Kwanini Saudi wanapingana na waarabu wenzaoHii nilitegemea kabisa
Asante mkuuFriends or Foe ni mfumo ambao huwezi piga ndege rafiki bali ndege adui pekee
Bro vitu vimeingia ndani ya israel despite kujam GPS na maelecyromic warafare devices ya wazungu wala nini drones zinatembea kilometa 1500 na zinafika zinakotakiwa zifike mpersia mwamba aisee hii naona ni kutuma ujumbe kwa ulimwengu oneni ,je mmeona na kweli tumeona.Mtu mpk ana jam GPS mashariki ya kati yote imepotea huyo si wa mchezo mchezo
Iran anatushia tu hawezi jaribu
Vimeingia ndani wapi vimejifia mbaliBro vitu vimeingia ndani ya israel despite kujam GPS na maelecyromic warafare devices ya wazungu wala nini drones zinatembea kilometa 1500 na zinafika zinakotakiwa zifike mpersia mwamba aisee hii naona ni kutuma ujumbe kwa ulimwengu oneni ,je mmeona na kweli tumeona.
Akilipa tu Hizbollah anapewa kazi ya kuichukua Golan na north israel yote, atapelekewa moto moto myahudi hatasahau.Iran imesema ishamaliza kazi yake ishalipa.
Israel yeye kasema analipiza
Kunakuwa na plan 1 plan 2 plan 3 na nakuendeleaMbona iran sitaki nataka? Watu tunasema vita ianze yeye anasema malengo yametimia
Malengo gani wakati vipulizo vyake vinashisushwa
Haha haha vitu vimeingia ndani mmechapwa mmepata taharuki waziri mkuu kasepa na flight na hii ni calculated na mpewa taarifa in advance hamjapingwa na hypersonic zile za 6min to target .Vimeingia ndani wapi vimejifia mbali