uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Iam not afraid of an army of lions led by a sheep
(Sheep- ayatollah khamenei) - idf
(Sheep- ayatollah khamenei) - idf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi una pitwa na mengi mkuu, hasa kwa nyinyi wa jijinoa malkia SI una visit tu pale ...Sijui kwanini huwa sinunui hisa
Laiti ningekuwa mdau huko mbona ningefaidi leo
Huu mfumo unamilikiwa na nchi ganiJordan imefunga matumizi ya anga lake kwa ndege za kiraia baada ya mfumo wa GPS kutokuwa sahihi.
Nchi zingine ni Kuwait, Iraq, Syria, Bahrain
Wairani wanahaha
Traffic jams forming in Tehran as people rush to buy gasoline ahead of an expected escalation in the conflict with Israel over the coming days.
View: https://twitter.com/visegrad24/status/1779268053395534012?t=6dhjzqNKncJ_ai0_9huZ6w&s=19
Via @officejjsmart
😄😄😄Felix Tshisekedi say HYPERSONIC MISSILE zipo angani kueleke Kigali kumfurumusha mtu mrefu mwembambakila mtu anamtandika mnyonge wake.
Majeshi ya SADC yamevurumusha makombora kuelekea mlima Virunga kwenye ngome ya M23.
Acheni vichekesho Israel isha prove kwamba bila USA ni bure tu.Israel anaweza kuwatandika hapohapo maana hana dogo
Sio yeye hii tukio limeshanifiwa kwa muda mrefu ,kuna jambo linakuja kutokea kutokana na hizi vita zinazoendeleaUnajua Netanyahu ni mpumbavu sana. Hii hali yote anasababisha yeye!
Mzee mimi inaniuma sana yaani!Hasira za Iran ni kuuwawa kwa watu wake ubalozini kwa makusudi
Naona ndege za UK zimeruka toka Uturuki ku intercepted drones za Iran
Ila ngoja tuone maana houthi pia na Lebanese wametuma pia
Waisrael hawataki vita majority maana ni msukosuko kwao
Unajua kuna raia wengi wanaishi hotel wamekatazwa kurudi makwao na hawana uhuru huku serikali ikiwahudumia?
Hatari sanaMzee mimi inaniuma sana yaani!
Nina ndugu Iran na Yemen ujue. Naumia sana yaani.
Unauliza GpsHuu mfumo unamilikiwa na nchi gani
Ni kitu ganiHapa ndo tutaona umuhimu wa FOF
Wairani wanahaha
Traffic jams forming in Tehran as people rush to buy gasoline ahead of an expected escalation in the conflict with Israel over the coming days.
View: https://twitter.com/visegrad24/status/1779268053395534012?t=6dhjzqNKncJ_ai0_9huZ6w&s=19
Via @officejjsmart
🙏Unauliza Gps
Gps ni ya wamarekani
Sisi Waarabu weusi wa TANDALE KWA TUMBO Tunaiponda MAREKANI tunatamani ifutike
Lkn hapa tumetega mingo Vijiweni tunazurura tuna tunasubiri REQUEST za UBER na BOLT tupate mkate wa kila siku kwa kutumia GPS za BEBERU (tamka MABEBERU HAYATUPENDI in magu voice)
Nakosa amani kabisa! Watu tupo macho tunasikilizia taarifa mpaka sasa hivi mambo yatakuwaje!Hatari sana
Share nasi kwa hisani ya HammazHii habari ni propaganda hakuna kitu kama hicho. Iran watu wapo mtaani wanashangilia. Nakuambia hivyo kwa sababu mimi nina ndugu kule taarifa napata narushiwa video kabisa.