Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Iam not afraid of an army of lions led by a sheep
(Sheep- ayatollah khamenei) - idf
 
Jordan imefunga matumizi ya anga lake kwa ndege za kiraia baada ya mfumo wa GPS kutokuwa sahihi.

Nchi zingine ni Kuwait, Iraq, Syria, Bahrain
Huu mfumo unamilikiwa na nchi gani
 
Hasira za Iran ni kuuwawa kwa watu wake ubalozini kwa makusudi
Naona ndege za UK zimeruka toka Uturuki ku intercepted drones za Iran
Ila ngoja tuone maana houthi pia na Lebanese wametuma pia
Waisrael hawataki vita majority maana ni msukosuko kwao
Unajua kuna raia wengi wanaishi hotel wamekatazwa kurudi makwao na hawana uhuru huku serikali ikiwahudumia?
Mzee mimi inaniuma sana yaani!
Nina ndugu Iran na Yemen ujue. Naumia sana yaani.
 
Huu mfumo unamilikiwa na nchi gani
Unauliza Gps
Gps ni ya wamarekani
Sisi Waarabu weusi wa TANDALE KWA TUMBO Tunaiponda MAREKANI tunatamani ifutike
Lkn hapa tumetega mingo Vijiweni tunazurura tuna tunasubiri REQUEST za UBER na BOLT tupate mkate wa kila siku kwa kutumia GPS za BEBERU (tamka MABEBERU HAYATUPENDI in magu voice)
 
Unauliza Gps
Gps ni ya wamarekani
Sisi Waarabu weusi wa TANDALE KWA TUMBO Tunaiponda MAREKANI tunatamani ifutike
Lkn hapa tumetega mingo Vijiweni tunazurura tuna tunasubiri REQUEST za UBER na BOLT tupate mkate wa kila siku kwa kutumia GPS za BEBERU (tamka MABEBERU HAYATUPENDI in magu voice)
🙏
 
Hii habari ni propaganda hakuna kitu kama hicho. Iran watu wapo mtaani wanashangilia. Nakuambia hivyo kwa sababu mimi nina ndugu kule taarifa napata narushiwa video kabisa.
Share nasi kwa hisani ya Hammaz
 
Back
Top Bottom