Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
BREAKING: US officials have 'no doubt ISRAEL WILL RESPOND whether lives are lost or not' and that 'IRAN itself will be TARGETED.'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchungu huuMpaka sasa tumeona IRAN kweli kaamua liwalo na liwe mm nilidhani IRAN atoshambulia
Ila kwa hali ya sasa huko MIDDLE EAST
Tutalajie ugumu wa maisha zaidi
Ila itajibiwa vikali lakini nadhani ili litakuwa
Fundisho kubwa kwa WAYAHUDI kila jambo lina mipaka yake US haiwezi kuazisha VITA vya kibwege kama alichoazisha NETANYAHU kwa IRAN
siipendi ISRAEL lkn hii VUTA itakuwa mwiba mchungu sana kwetu sisi MATAIFA DUNI hasa huku upande wa AFRCA
kwa masaa mawili tu nenda STOCK EXCHANGE uone mabadiliko yalivyo
Kwa kweli AMANI ya DUNIA sasa inapotea
Ni US pekee ndo ataamua hii vita pindi atakapokubari kuwa ISRAEL imevuka mstari amabao hakutakiwa kuvuka
Watu wake wanasema akimalize Kikundi cha Magaidi wa Hamas na sasa Ayatolah nae kajitokeza hadharani Wananchi watamuunga mkono.Netanyahu
That was expected to happenMarekani imesema kuwa Israel itaishambulia Iran muda wowote kuanzia sasa,
Sijui kwanini huwa sinunui hisanaam mkuu, ila sometimes hapo ndo pa. Ku benefit.
Fatilia kampuni za huduma za Israeli, kana Wako soko la hisa then start buying now.
Baada ya muda inflation itakuwa kwa speed ya 360, so we Baadae una achia tu
Mpaka sasa tumeona IRAN kweli kaamua liwalo na liwe mm nilidhani IRAN atoshambulia
Ila kwa hali ya sasa huko MIDDLE EAST
Tutalajie ugumu wa maisha zaidi
Ila itajibiwa vikali lakini nadhani ili litakuwa
Fundisho kubwa kwa WAYAHUDI kila jambo lina mipaka yake US haiwezi kuazisha VITA vya kibwege kama alichoazisha NETANYAHU kwa IRAN
siipendi ISRAEL lkn hii VUTA itakuwa mwiba mchungu sana kwetu sisi MATAIFA DUNI hasa huku upande wa AFRCA
kwa masaa mawili tu nenda STOCK EXCHANGE uone mabadiliko yalivyo
Kwa kweli AMANI ya DUNIA sasa inapotea
Ni US pekee ndo ataamua hii vita pindi atakapokubari kuwa ISRAEL imevuka mstari amabao hakutakiwa kuvuka
Time will tell, Ila punguza mahabaKikinuka msije kulialia nakumbuka mlivyokuwa mnasema Scud za Saddam ni kiboko baadae akaja kubambwa kwenye Shimo na kunyongwa siku ya Iddi.
Ayatolah nae atanyolewa Ndevu kabla ya kunyongwa ili akienda kwa Mabikira zake aende amependeza.
Hasira za Iran ni kuuwawa kwa watu wake ubalozini kwa makusudiWatu wake wanasema akimalize Kikundi cha Magaidi wa Hamas na sasa Ayatolah nae kajitokeza hadharani Wananchi watamuunga mkono.
Haya panua paja mkojo wajaUnapenda kufilwa mwanangu c uende visiwani kule mnaafilana sana waislam
Taifa la Mungu linaloruhusu ushoga?mimi ni mkristo lakini sio mkristo mjinga hii Israel ni taifa ovu tu kama Marekani au uingereza sio taifa la Mungu kwa sababu wanaruhusu machukizo ya kishetani kila uchafu wanaruhusu.dont be brainwashed.Amen Amen, God of Ibrahim, Isaac and Jacob is alive, Jehovah Nissi atawatetea, Mungu wa Israel mwaminifu ashikaye agano atawatetea, Mungu anakumbuka agano na mtumishi wake David, Israel itashinda katika jina la Yesu Kristo
kila mtu anamtandika mnyonge wake.Naona Russia naye kapata upenyo kaanza mshambulia Ukraine Kharkiv
Hilo la Iran kuwa na nuclear hata mie nafikiri analo maana sio kwa kiburi hicho cha kutishia kufunga straight of Hormuz.Iran now ana kiburi ni sababu ana nuclear tayari ndio maana haogopi tena. nje anasema anaomba aruhusiwe lakini ukweli ni kuwa analo tayari. ndio maana us yuko busy kuhakikisha jambo linaisha kwa amani. sema ndio hvy tena yai lishapasuka. now namuonea huruma zaidi ukraine maana waume zao watahama silaha wapeleke huko kwa Nyau..
Unajua Netanyahu ni mpumbavu sana. Hii hali yote anasababisha yeye!Iraq napo wameanza mashambulizi uelekeo Israel
Hivyo pande 4 zote zinashambulia kwa wakati mmoja.
Hili swala lishakuwa gumu sana
FakeBREAKING: JORDAN has OPENED their airspace for the ISRAELI MILITARY to intercept IRANIAN targets.