Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
BREAKING: Iranian media says ballistic missiles have been fired towards Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GPS za Marekani zikom controlled kutoka Shriver AFB Colorado. Pale kuna timu inayomonitor operations za satellites zote na wakati wa military operations huwa wanabdilisha frequencies kila baada ya dakika 12. Iwapo ndege ya wazir wa Uingereza siyo ya kijeshi haiwezi kuwa chini ya control ya Shriever AFB.Juzi kati gps ya ndege ya waziri wa ulinzi wa UK ilikuwa jammed, hii ni version ipi?
Hii teknolojia ipo Nevada (area 51) Wala hao wayahudi feki hawana hio teknolojia.BREAKING: Israel in a message to Iran: "Tonight there will be an earthquake in Iran."
(Israeli media)
Umenielewa,sio waarabu ndio ila tukisema nchi za kiarabu au mashariki ya kati, Iran is included... sometimes neno la nchi za kiarabu tunamanisha nchi za kiislam,ingawa iran ni Shia,kama kuna nchi itamsaidia Iran basi ni zile za mlengo wa Shia na itategemea hizo nchi zimekaliwa kooni na Marekani kwa kiasi gani!Mkuu Iran sio waaarabu.
Hizbullah hawako Goba ujue.Mkuu Why is Israel attacking Lebanon?
Ni Iraq inashambulia Israel or ni vikundi vilivyopo Iraq?Iraq napo wameanza mashambulizi uelekeo Israel
Hivyo pande 4 zote zinashambulia kwa wakati mmoja.
Hili swala lishakuwa gumu sana
Iran wanaishi kwa nguvu ya huyo Ayatollah yaani wanaogopa sana maana wanasiasa wanaojaribu kwenda kinyume wanamalizwa kimya kimyaSio rahisi hivyo,Ayatolah atatolewa na Wa Iran wenyewe through Coup
Hatari sana tutaona mengi sanaWashaingia mapema tu wale hawaachani, kumbuka Uingeleza ndo kasababisha Ukraine isitekwe