Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Hapo ndo Israel ana mtihani, maana Houthis nao wataanzisha muda wowote.
Pia Gaza apanaweza waka tena.

Bado kutokea Syria, Iraq

Hii ngoma ngumu sana, Israel peke yake hawezi
Aangamizwe mbwa huyo
 
Mimi niko mubashara hapa Netanyahu anaandaa F35 Stealth zinaenda Natanz kuharibu Silaha za Atomiki za Ayatolah
Unafikiri Iran ni gaza, Iran anazo long range warning radar na anga lake Lina ulinzi mkubwa sana, anazo mifumo ya makombora ya ulinzi wa anga ambapo ukitoka s 300 ya mrusi zilizobakia katengeneza mwenyewe ndio maana mwaka 2019.

Ndege ya kijasusi ya marekani ya MQ4-C, ambayo trump pia aliambiwa kwa uwezo wa ndege hiyo ingeweza kupenya na kuingia kwenye anga la Irani bila kuonekana na mifumo ya ulinzi ya Irani. Lakini kilichotokea kiliwacha midomo wazi wamarekani maana Iran aliiweza kuiona hiyo ndege kabla haijaingia kwenye anga lake.

Na akaitandika kwa mfumo wake wa makombola wa khordad ulioundwa na wanasayansi wa ndani wa Irani huku S 300 ya mrusi ikiwa imezimwa na kuachwa irelax. Pia kasome ndege nyingine za marekani zilizopigwa na Iran Kama scan eagle n.k ndio utajua Iran yuko makini sana kwenye ulinzi wa anga lake.
 
Hapo ndo Israel ana mtihani, maana Houthis nao wataanzisha muda wowote.
Pia Gaza apanaweza waka tena.

Bado kutokea Syria, Iraq

Hii ngoma ngumu sana, Israel peke yake hawezi
Hawezi, naona soon Marekani na uingereza wanaingia kusaidia
 
Yaani haya maisha, ukiangalia Netanyahu nae waisrael wamemkalia kooni aondoke
Tusiwe wapiga ramli kama yule waziri wa habari wa Iraq enzi zile [emoji1] unamkumbuka
Sio rahisi hivyo,Ayatolah atatolewa na Wa Iran wenyewe through Coup
 
Ishakuwa mchanganyo wacha tuone itakuwaje.
Hii tayari ni regional war hakuna aliye tayari kukubali shindwa. Kila mtu mbabe
 
Back
Top Bottom