Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
BREAKING: Missiles sighted over Iraq, as Iran launches attack against Israel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ilivyo, hata Urusi hajawahi mrushia Ukraine kiwango hicho toka vita imeanza.BREAKING: A senior US official told ABC News they now think there will be "anywhere from 400 to 500 drones and missiles launched at Israel from Iraq, Syria, southern Lebanon and the Houthis", but that the bulk will be launched from Iran.
Just as it was for Russia in Ukraine. Vp mlimshinda huyo Urusi? Acheni midomo, mwanaume kaingia mzigoni nanyi ingieni.Iran playing childish war game
Mambo yanazidi kuwa mabaya mkuuKama una weza zama stock market ya airline Yao, uki save hata hisa 50 ni 🔥🔥
Labda Balistic misile zinaweza kufika hizi drone bado sijaziamini, speed yake ni ndogo,inatoa time ya watu kujiandaaMashambulizi haya ya Iran hayatamwacha salama Israel, lazima atapigwa ila naye atajibu haswa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hizi habari zako zinafanana na zile za Ukraine kwamba wamelipua Magari 400 ya Urusi.[emoji1137][emoji1258][emoji1134][emoji1130][emoji298]️Jordan has opened its airspace to Israeli Air Force fighters.
Together with American aircraft, they are intercepting Iranian drones.
Nimeziona zinapiga kelele juu ya Mitende.BREAKING: Missiles sighted over Iraq, as Iran launches attack against Israel.
Wenyewe Israel wanalalamika hizo Drone za Shaheed ndio zimeharibu UKRAINE.Wanasema drone zaidi ya 250 zimetumwa uelekeo wa Israel.
Je Israel ataweza jilinda?
Iran ana uwezo wa kushambulia hata kwa drone 10000 ndani ya siku 1
Israel hana huo uwezo wa kuzuia
Channel ipi
Hapo ndo Israel ana mtihani, maana Houthis nao wataanzisha muda wowote.BREAKING: ISRAEL has issued a RED ALERT in Northern ISRAEL.
Nadhani hili la Hezbollah,Iran inawezekana amepanga ili kumchanganya Israel,pia nadhani hii act ya leo imepangwa siku nyingi sana,sio retaliation ya wiki moja.Hezbolla ana nguvu maana anarusha mortals zakutosha ndo maana Israel anamshambilia muda huu
Yaani haya maisha, ukiangalia Netanyahu nae waisrael wamemkalia kooni aondokeAyatolah anaondoka kama alivyoondoka Saddam.