AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Ina maana hata msemaji wa idf hujamsikia au umeamua kufumba macho. kinchi kimezungukwa na majeshi ya us n uk then kinajigamba kina mifumo ya ulinzi ambayo hata hamas waliingia kwa parachutes😁😁.Kaomba wapi?! Unadhani hata bila US Israel haina mifumo ya ulinzi wa anga?