Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
BREAKING: Israeli Home Front Command asks residents of Eilat, Dimina, Nevatim and the northern Golan to stay near shelters.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari ni propaganda hakuna kitu kama hicho. Iran watu wapo mtaani wanashangilia. Nakuambia hivyo kwa sababu mimi nina ndugu kule taarifa napata narushiwa video kabisa.
watu pori hao washkaji zake Shee Osama bin Makonda.BREAKING: TALIBAN Spokesman: “We pray for IRAN’S victory over ISRAEL.”
Ukiamini ni sawa usipoamini ni sawa vilevile.Kwamba habari sahihi zinatoka kwa ndugu zako waliopo Iran kiyume na hivyo ni propaganda?.
Hao jamaa watu waBAD sana katika NCHI za kiislam zisizo na unafikiwatu pori hao washkaji zake Shee Osama bin Makonda.
Huu ndio ujinga walionaoJordan anaishambulia Iran kwasababu za kidini sio kiarabu.
Unaichukuliaje IranJamani acheni kudanganyana Iran utapoteza kila kitu, hakuna tofauti na enzi za Sadamu na mabomuyake ya scud baada ya Israel kushambulia nuclear plant on Iraq.
Israel haimtambui mfu kristoAmen Amen, God of Ibrahim, Isaac and Jacob is alive, Jehovah Nissi atawatetea, Mungu wa Israel mwaminifu ashikaye agano atawatetea, Mungu anakumbuka agano na mtumishi wake David, Israel itashinda katika jina la Yesu Kristo
Wasabato mme changanyikiwa mnazani ile Israel ya kwenye bible ndo hiii ya leo .simpletonAmen amen, watashinda, Mungu wa Israel ni Mungu mkuu ashikaye agano na fadhili
Wasabato mme changanyikiwa mnazani ile Israel ya kwenye bible ndo hiii ya leo .simpleton
Sawa askari wa pemba mzungumzie issa YESU humjui.Hatimae wayahudi wanakwishaaa!
Sasa wale wakosa rinder wa buza waabudu mfu utasikia wanawatetea wayahudi wakati yeshu aliuliwa na wayahudi
Labda iwe tarehe 9 DecemberHivi Tz tuna uwezo wa kuzuia mashambulizi kama hayo?