ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Mkuu video zimejaa kwenye mtandao wa X huko Aljazeera habari hutolewa baada ya kuhaliliwa hivo huchelewa kutoka.Mbona huku aljazeera na BBC hakuna hizi habari we unazitoa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu video zimejaa kwenye mtandao wa X huko Aljazeera habari hutolewa baada ya kuhaliliwa hivo huchelewa kutoka.Mbona huku aljazeera na BBC hakuna hizi habari we unazitoa wapi
Ngoja tusubiri tuoneMkuu video zimejaa kwenye mtandao wa X huko Aljazeera habari hutolewa baada ya kuhaliliwa hivo huchelewa kutoka.
Mkuu mbona Iran imangaza kuanza kurusha makombora?Habari yake bado nina mashaka nayo, mpaka sasa hakuna hata drone moja imeripotiwa kufika chini
Israel pia wamejitahidi mifumo ya ulinzi ya anga imewasaidia sanaIran inatia shaka sana inawezekana vipi urushe midude kwa maelfu then vyote vibonyezwe
Fashi fashi zileIran alirusha drone au mapulizo?
Amerusha drones na missile ili mfumo wa israel uwe overwhelmed.Iran inatia shaka sana inawezekana vipi urushe midude kwa maelfu then vyote vibonyezwe
Hiyo naijua,ila hii ya makombora kufika kwenye target bado sijathibitishaMkuu mbona Iran imangaza kuanza kurusha makombora?
Zile drone za kamikaze zinatembea kwa Masaa mkuu.Iran inatia shaka sana inawezekana vipi urushe midude kwa maelfu then vyote vibonyezwe
Raia wapo waliyoandamana kwa kuiunga mkono serikali yao kwa kulipa kisasi dhidi ya Israel.Miaka ya nyuma raia wa iran walikuwa wakisikia habari mbaya za israeli wanatoka mtaani kuandaman wakiimba death to Israel and USA
Ila leo iran karusha drones kwenda israeli hakuna raia mwenye muda
Ila wananchi walikuwa ktk high tensions kununua mahitaji ya nyumbani in any case
It means Taifa limegawanyika
Ayatollah kimenine anaweza akapitia njia km kadafe ya kuuwawa na kuburuzwa na devu mitaani
Target unajua ilikuwa wapi?Hiyo naijua,ila hii ya makombora kufika kwenye target bado sijathibitisha
Mkirudishiwa 10,000 msianze kulia na kuomba misaada ya chakulaWaisrael wanakimbia hali mbaya baada ya missile kutua.
Iran imerusha missile nyengine kuelekea Israel.
Kwanini wamechagua hizo walizochagua,lengo lao nini nini?Zile drone za kamikaze zinatembea kwa Masaa mkuu.
Balistic missiles ni dk 10-20 na Hypersonics ni Dk 5-10.
Ni aina ya silaha waliocjagua kama Retaliation.
Zingepigwa Ballistic kadhaa au Hypersonics, Tungekuwa na story nyingine hapa boss.
Sote tunajua KAMIKAZE na sifa zake.
Nina ndugu Iran na Yemen. Hivyo napata link kutoka kwenye hayo magroup kwa msaada wa ndugu zangu. Nyengine wananirushia moja kwa moja wenyewe.Kuna swali nataka nikuulize Ina maana una ndugu Iraq, Jerusalem, na Iran pote wanakutumia video?
Nimeuliza sio kwa ubaya
Israel au kuna nchi nyingineTarget unajua ilikuwa wapi?
Raia wapo waliyoandamana kwa kuiunga mkono serikali yao kwa kulipa kisasi dhidi ya Israel.
Zile drone za kamikaze zinatembea kwa Masaa mkuu.
Balistic missiles ni dk 10-20 na Hypersonics ni Dk 5-10.
Ni aina ya silaha waliocjagua kama Retaliation.
Zingepigwa Ballistic kadhaa au Hypersonics, Tungekuwa na story nyingine hapa boss.
Sote tunajua KAMIKAZE na sifa zake.
Unawapangiaje Jeshi la Iran na Serikali yake aina ya Silaha za kurusha.Kwanini wamechagua hizo walizochagua,lengo lao nini nini?
Hapa tuseme tu Israel na washirika wake wamejitahidi sana