Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
AhsanteNina ndugu Iran na Yemen. Hivyo napata link kutoka kwenye hayo magroup kwa msaada wa ndugu zangu. Nyengine wananirushia moja kwa moja wenyewe.
Mfano kama hiyo nyengine ni kutoka magroup ya waarabu Ukanda wa Lebanon wamechukua video baadhi ya makombora yaliyotua Israel.
Mifumo ya ulinzi iliwekwa busy kwa kupambana na drones. Athari yake ni kwamba ukituma drones nyingi inakuwa inazidiwa hivyo missile zinakuwa rahisi kufanya targets.Israel pia wamejitahidi mifumo ya ulinzi ya anga imewasaidia sana
Nafkiri hilo ni onyo tu ila sio kwamba alishindwa kuishambulia IsraelYaani hundreds of drones from Tehran have been intercepted.
Kwa mbinu hiyo je ni ngapi zimefanikiwa kupita?Mifumo ya ulinzi iliwekwa busy kwa kupambana na drones. Athari yake ni kwamba ukituma drones nyingi inakuwa inazidiwa hivyo missile zinakuwa rahisi kufanya targets.
Urusi ilivyoshamulia Kieve Ukraine ilitumia aina tofauti za makombora na mengine geresha na walitumia makombora mengi ili kuochanganya mifumo tofauti tofauti ya ulinzi iliyofungwa Kieve.
Lengo ni kuifanya mifumo ichanganyikiwe na izidiwe. Nafikiri Iran naye kaamua kufanya hivyo kwa lengo hilo!
Maswali yako kama chizi alieponaKwa mbinu hiyo je ni ngapi zimefanikiwa kupita?
Zimeenda wapiMissile za Iran zimepita juu ya anga usawa wa Bunge la Israel. Ina maana wangeamua kulilipua wangelilipua.
Mkuu mara nyingi drone huwa hazina hathari kubwa kwenye kufanya mashambulizi bali huwa zinatumika kuiweka bize mifumo ya Ulinzi ili makombora yaweze kupenya kiurahisi.Israel pia wamejitahidi mifumo ya ulinzi ya anga imewasaidia sana
Makombora yapo wapi mpaka sasaMkuu mara nyingi drone huwa hazina hathari kubwa kwenye kufanya mashambulizi bali huwa zinatumika kuiweka bize mifumo ya Ulinzi ili makombora yaweze kupenya kiurahisi.
Makombora yapo yanatua ndani ya Israel ww unaleta ngonjera?Fashi fashi z
Bado sijaona kombora ambalo limetuaMakombora yapo yanatua ndani ya Israel ww unaleta ngonjera?
Kiukweli sijui nisikuongopee.Kwa mbinu hiyo je ni ngapi zimefanikiwa kupita?
Mkuu na ww una maswali ya ajabu,si umewekewa video na umeona yakitua au hujaifungua?Makombora yapo wapi mpaka sasa
Ngoja tuone mpaka asubuhiKiukweli sijui nisikuongopee.
Sijui ni idadi ngapi ya missile alizozituma Iran.
Ila ninachokijua ni kuwa drones zimerushwa kutokea Iran, Iraq na Yemen.
Ndizo nyingi zinazokadiriwa kufika 500+
Ila US, UK na France pamoja na Jordan wanamsaidia Israel kuzipunguza. Hivyo zinazofika Israel ni chache ijapokuwa kwa kiasi chake ni nyingi.
Kumbembe kinabalu kwenye kuzuia missile. Kilochofanyika nacho ni kwamba Iraq nayo imerusha missile pamoja na Yemen.
Hapa linachotokea ni mwenye zana bora.
Habari kesho utazipata. Missile nyengine hizo zinapishana na makombora ya Iron dome na ku hit target.Ngoja tuone mpaka asubuhi
Sidhani kama ni official nikijiridhisha tutakubalianaMkuu na ww una maswali ya ajabu,si umewekewa video na umeona yakitua au hujaifungua?
Mnafosi kumpangia Iran cha kufanya.Makombora yapo wapi mpaka sasa