Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mnatia aibu wote wawili kwa hayo maneno mnayotupiana inaonesha kabisa hamjakomaa kihisiaMwamedi ndo alikua shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatia aibu wote wawili kwa hayo maneno mnayotupiana inaonesha kabisa hamjakomaa kihisiaMwamedi ndo alikua shoga
Nafikiri kuanzia sasa Israel na washirika wake watakuwa na akili.Tatizo la Marekani na washirika wake wanaidekeza mno Israel kiasi cha Israel kujiona ina haki ya kufanya chochote bila kuguswa.
Atajifikiria mara mbili kwa sababu alichokifanya yaani hapo Israel ilijipanga vya kutosha na kapata msaada wa marafiki zake wakubwa wa dunia ila bado athari za moja kwa moja kazipata.Wataamua sasa Kusuka au Kunyoa..
Pole Mkuu, hapa wachangiaji ni below 30 so Bado ujana unawasumbuaMkuu vita sio kama mnavyofikiria huo sio mpira wa Man U
Nimeshuhudia vita ya Iraq na Iran na pia Iraq alipovamia Kuwait mpaka mwisho
Vita huwa haina mshindi hata kama tunauma upande mmoja kwa mapenzi lakini vita ina hasara kubwa sana
Unajua sasa hivi Israel wanarundika toilet paper na maji majumbani kuna uzi humu hebu fuatilia breaking news ndio nimesoma mda sio mrefu
Niliishi kwa tende na maji mwezi mzima na sio utani
I was in front bro
Iran amemaliza kutuma mi Sai baba yake sio? 🤣🤣Iran imesema ishamaliza kazi yake ishalipa.
Israel yeye kasema analipiza
Mengi yameshushwa huko hukoBro vitu vimeingia ndani ya israel despite kujam GPS na maelecyromic warafare devices ya wazungu wala nini drones zinatembea kilometa 1500 na zinafika zinakotakiwa zifike mpersia mwamba aisee hii naona ni kutuma ujumbe kwa ulimwengu oneni ,je mmeona na kweli tumeona.
Nitumie hii nduguHii yapa nimetumiwa. Hizbullah nao wametangaza operation dhidi ya Israel. Mashambulizi waliyoyafanya sasa hivi.
Nitumie hiziWaisrael wanakimbia hali mbaya baada ya missile kutua.
Iran imerusha missile nyengine kuelekea Israel.
israel anatakiwa kupigwa haswaaa maana amekuwa mpumbavu pumbavu na ubabe usio na maanaVita mbaya sana, isikie kwa jirani tu
hawana ubavu wana mkanda huko, endelea kujifariji ukija stuka ana omba msamahaNi kweli alitakiwa apigwe bahati mbaya wapigaji nao hawana ubavu
Mnaleta hadithi za Saddam Hussein. Atakamatwa mtu anyongwe hadharani halafu muanze kulialia.Anaweza maana asipofanya ataonekana hawezi katumia muda kufikiri na kujipanga offensive and defensive.
Israel ana disadvantage maana yeye anaweza shambuliwa na pande nyingi kwa mpigo ambapo atapigwa sehemu kadhaa maana akitumiwa drones 200 na ballistic 100 hawezi tungua zote ndo maana kajam GPS kwa msaada wa Marekani
Bahati mbaya wa kumpiga ndio hakunaisrael anatakiwa kupigwa haswaaa maana amekuwa mpumbavu pumbavu na ubabe usio na maana