Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Tatizo la Marekani na washirika wake wanaidekeza mno Israel kiasi cha Israel kujiona ina haki ya kufanya chochote bila kuguswa.
Nafikiri kuanzia sasa Israel na washirika wake watakuwa na akili.

Vuta picha Israel ni taifa lenye nuclear lakini Iran Amepiga ndani ya Israel pamoja na onto kutoma kwa Marekani lakini kapiga.

Sasa nchi inayoamua kujilipua kama Iran ni hatari. Ina maana imeshajiandaa kupoteza. Na kwa tafsiri nyengine Iran ina nuclear tayari.

Swali linabaki; Israel, Amerika na washirika wake wapo tayari kupoteza? Kitakachotokea sidhani kama Amerika yupo tayari kukiruhusu. Kwa sababu middle East yote itachafuka ile. Iran na washirika wake hawatokubali kuanguka peke yao.

Kuanzia UAE, Saudi Arabia huko kote patachimbika. Yemen, Iraq, Lebanon, Jordan, Syria yaani eneo lote litaharibika. Marekani na washirika wao wapo tayari ku sacrifice hayo yote? Na historia ikubali imwandike yeye ndiye chanzo cha vita kwa kumlea vibaya Israel.

Na Jordan kwa kuruhusu anga yake itumike na mifano aliyoiana kilichowapata Israel sidhani kama atathubutu tena kwa Iran ilichokifanya.
 
Wataamua sasa Kusuka au Kunyoa..
Atajifikiria mara mbili kwa sababu alichokifanya yaani hapo Israel ilijipanga vya kutosha na kapata msaada wa marafiki zake wakubwa wa dunia ila bado athari za moja kwa moja kazipata.
Israel inabidi awe makini sana.

Ila mimi binafsi namlaumu Netanyahu. Huyu hafai kabisa na ndiye aliyewaletea matatizo yote haya raia wa Israel. Amani ya Israel kwa kipindi hiki cha sasa inabidi Netanyahu athlete madarakani.

Missile hii ikipita juu ya bunge lao Israel.
 

Attachments

  • Screenshot_20240414_033344_X.jpg
    277.3 KB · Views: 4
Pole Mkuu, hapa wachangiaji ni below 30 so Bado ujana unawasumbua
 
Mengi yameshushwa huko huko
Yaliyopita hayana athari,yameangukia kwenye open space
 
Kwani chanzo cha vita ya iran na Israel ni nini?
 
Mnaleta hadithi za Saddam Hussein. Atakamatwa mtu anyongwe hadharani halafu muanze kulialia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…