Iran inaenda kupotea kama IraqHatimae wayahudi wanakwishaaa!
Sasa wale wakosa rinder wa buza waabudu mfu utasikia wanawatetea wayahudi wakati yeshu aliuliwa na wayahudi
Kavamia wapi😂😂😂😂Ashavamia sasa.
Watu wameendelea wana plan B imetuliaIran anataka alipize kisasi, ili kuondoa collateral wameona wafunge anga.
Israel imefanya jamming ili kupoteza mabomu yanayotumwa kwa coordinates ie ballistic, drones etc
Asubirie doziAshavamia sasa.
🤣Niko hapa naangalia LIVE IDF inazisubiri hizo Bajaji za Ayatolah izitungulie mbali halafu Biden anasubiriwa amshukie Ayatolah kama Mwewe.
Alijam mfumo ni IRAN sio Israel get to know.Mtu mpk ana jam GPS mashariki ya kati yote imepotea huyo si wa mchezo mchezo
Iran anatushia tu hawezi jaribu
Kuanzia 2019 kila kitu kimepanda mara mbiliKwenye hili lazima makampuni yatapiga pesa sana
Ni ardhi takatifu inayokaliwa na wayahudi feki wa kizungu.Huwaga mnaichukuliaje Israel
Bahatibaya unayoyatamani hutayaonaHizo ni GPS za kiraia tu. GPS ya kijeshi ya Marekani haiwezi kuwa jammed; iko katika level tofauti sana na zile za kiraia.
Ningependa Netanyahu afundishwe adabu kidogo kabla hajapewa lifline yoyote. Netanyahu ndiye aliyechangia sana kuharibu image ya Israele duniani. Ninapenda netanyahu abanwe makende sana kabla suluhun haijafikiwa. Marekani ikiingilia kati mapema, Netanyahu atapata lifleine ya haraka na atajisahau tena
Hapana ndio master plan huyoRussia yuko bize na Ukraine
Azuii bali ana jitahidi kuilinda Israel isiyo weza kujilinda.Marekani anajitahid sana kuzuia hii vita isitokee lakini sidhani km atafanikiwa
Naangalia Aljazeera hapa naona bado Iran wanasisitiza kuwa lazima waipige Israel. Yawezekana wakapiga kweliNdo keshatuma ngoja tusubirie impact maana lazima atatuma Cruise na Ballistic
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Haya maneno mliyatumia kwa URUSI pia kuwa anatafutwa leo kiko wapi??Iran katafutwa mpk kapatikana anasubiriwa aingie mkenge amalizwe
Bhangi ni mbaya sanaIran inaenda kupotea kama Iraq
Inaenda kua nchi ya kawaida tu
Kwakua Israel haina jeshi eeehAzuii bali ana jitahidi kuilinda Israel isiyo weza kujilinda.
Angekuwa na nia ya kweli ya kuzuia vita basi angelaani upuuzi wa Israel kama sio kuuzuia kabisa.
Hizo ni Saibaba kama sio Air MsaeKingdom of Jordan imesema inazitungua Bajaji zote za Ayatolah.