Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Utadhani ukizaa anakusaidia kulea fyuu zao
Jasmoni Tegga sio kila mtu anaweza kukuongelea personal life yako. Ingekua wazazi au watu wa karibu mbona powa tuu
Sasa unaniluza nimeolewa? Nina mtoto? Halafu vyote nakujibu hapana.... unaendelea zaa wewe, unazeeka!
Unataka nizae bila mipango?
 
Si ili ajilinganishe..., aanze kukushauri.

Ujue binadam wengi wanapenda kukuweka kama uko kwenye shida hivi ndo anakushauri cha kufanya.

Ili iweje Sasa !? Wakati kila mtu na maisha yake
 
Si ili ajilinganishe..., aanze kukushauri.

Ujue binadam wengi wanapenda kukuweka kama uko kwenye shida hivi ndo anakushauri cha kufanya.
[emoji16][emoji16] if ningekuwa nashida siningemueleza tu
 

Busara zitakuua mama D
 
Watu wanapenda kuuliza sana,Mimi huwa nakereka ndani kwa ndani huwa sionyeshi kama nimeboreka na huwa siwez muuliza mtu.

Kuna swali lingine ambalo huwa linatukata stimu sana sisi ambao bado tunaishi kwetu,labda mzazi anakutambulisha,akmaliza huyo mtu anamuuliza kwahyo anaishi wapi wakat anakuona hupo hapo nyumbani
 
Umeongea vzuri dada Ayo maswali yanakera Sana au unakuta umeamua zako kupungua mtu anakuuliza mbona umekonda ivyo unaumwa? Yan Kuna watu hawajui kabisa kucommunicate
 
Labda wanaona hakuna kitu kingine unaweza kufanya zaidi ya kuolewa na kyzaa ndio sababu wanakimbilia kuuliza hayo- Watu wengine wameolewa na kuoa lakini hawafaidi kuoa kuolewa huko ndio maana wanafikiri kila mtu lazima aolewe na kuzaa..bila kuziona changamoto zinazomkabili huyo mtu ambae wanamuuliza hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…