Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Acha utopolo hayo maswali ni kwa faida yako pia ikiwemo aina gani ya status upewe
 
Majibu yako ndio yanaleta aina hiyo ya ushauri
 
Acha utopolo hayo maswali ni kwa faida yako pia ikiwemo aina gani ya status upewe

Wengi wanaopenda kuuliza haya maswali ni utopolo mtupu, tena wenyewe hata hiyo status ya kuuliza hawana
 
Ili iweje sass
unajua mtu akiona mfano una huzuni kupitiliza then akikuuliza umeolewa au umeoa anajua hayo ni yako ya maisha labda uamue mwenyewe kujitoa matatizoni.
mtu akikuona una furaha kupitiliza anaweza akakuuliza swali hilo kujua chanzo cha furaha yako na inaweza ikabadilishwa baada ya tendo hilo la kuoa au kuolewa au kupata mtoto
 
Sasa pia huwezi jua mtu Ana kuuliza Kama umeoa au umeolewa kwa sababu labda anataka kuanzisha mahusiano au kukutongoza ili aepushe migogoro ndo Mana anakuuliza ili usione kama anakuingilia katika ndoa yako

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ile uliza inayolenga kwenye kuanzisha mahusiano hata haina maudhi......
Maudhi yapo kwa kina wale wanakuuliza tuu bila sababu, na kuendelea kuuliza na mwisho wanakupangia
Sasa kitu hakinipi huzuni wala stress kwanini kiwatese wao?
 
Ile uliza inayolenga kwenye kuanzisha mahusiano hata haina maudhi......
Maudhi yapo kwa kina wale wanakuuliza tuu bila sababu, na kuendelea kuuliza na mwisho wanakupangia
Sasa kitu hakinipi huzuni wala stress kwanini kiwatese wao?
Mama D tangu ileeeee juzi kati yaani bado umeudhika tu hadi leo!??? Hii ni hatare na robo
 
Shukrani sana, katikati ya mwaka huu naongeza chuma cha tatu.

Wanaume tunasifiwa kuoa sana na si kuacha.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Chuma Cha tatu...!!! Hongera aisee
 
30+ lazima ukasirike na roho iiume kwa maswali madogo, ila ukiwa 25- huwez kasirika,utajibu na kujibika
Sio lazima kama ni maamuzi yako
Na inaudhi kama mtu anakushinikiza kwa kitu usichokiweza kukipata
 
maswali ya kukera mengine:


1. ulimwaga ndani ?

2. mbona sjaona siku zangu ?

3. naumia mapaja, we unaendelea tu ?

4. nimechoka, tulale ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…