Kwani Bakwata wana ufahamu wowote juu ya bandari? Si ajabu hawajui kinachoendelea😆😆😆Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.
Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari? Wao kina nani nchi hii? Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??
Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.
ROMA LUCUTA, CAUSA FINITA1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Ndio maana tunasema mbadike, tunaposema Tanzania ya 1990's haiwezi kuwa kama ya 2023. Watu wamebadilika na wameelimika kuliko enzi hizo,Naomba kuuliza miikataba ya serikali na makambuni ya Migodi wananchi walikubali?
Hujaona kondoo amevaa here ni!? Jibu mmmbadoHao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Expopriation act. Tafuta kwa bahati mbaya nimesahau ni namba ngapi.Nimesoma wote sijaona kifungu kinachoruhusu utaifishaji.
Wabadilike hawa Kufuatia kila rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe Mkatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa Mkatoliki na Magufuli Mkatoliki, kuna uwezekano Wakatoliki wamedekezwa na sasa wameota pembe na kuthubutu kumgomea Mama kwasababu sio Mkatoliki?.Ndio maana tunasema mbadike, tunaposema Tanzania ya 1990's haiwezi kuwa kama ya 2023. Watu wamebadilika na wameelimika kuliko enzi hizo,
Sidhani iwapo historia ya hao kina IPTL ina mfanano wowote na DPW. Tusikariri maisha, huwa yanabadilika kila kukicha.Wana siasa ndio wanaotuangusha kwa tamaa zao. Sio DP World. Na hata kukataa ni sababu zile zile...nyuma ya huu uwekezaji, nini na nani?
Watanzania wana uchungu kuona huu ufujaji ambao kiini cha yote ni ubinafsi na rushwa. IPTL, na Symbion na mengine mengi yamekera na inatosha. Kuhoji na kuulizia lei sio kwa nia mbaya....wanajua historia huwa ina tabia ya kujirudia
Wenye ufahamu wa Bandari ni hao Dp world ndio maana serikali imeamua kuwapa hiyo Bandari kuwekezaKwani Bakwata wana ufahamu wowote juu ya bandari? Si ajabu hawajui kinachoendelea[emoji38][emoji38][emoji38]
Shida kubwa ya ndugu zetu wa Catholic wanadhani kwakuwa JPM hakumaliza muda wake ilikuwa ni haki yao kuendelea kutawala kuna ile hali toka Nyerere kwa bahati tu kuwa awamu moja baada ya nyingine imekuwa Catholic, Muslim, Catholic, Muslim sasa hili linawakera sana na wakiona kule CCM vijana waliojuu kama mastar wa baadae hakuna Catholic na hawa wanadhani wanahaki juu ya watu wote. Kuna agenda kubwa zaidi hili la bandari ni kichaka tu ndio maana haya yanaratibiwa na watu wako Nje, hilo linajulikana na hata Dr Slaa kasema sio siri tunaratibiwa na kikundi kinajita Sauti ya wa Tanzania. Hawa wengi wako nje na wanakereka jambo la uraia pacha linapigwa chini sasa wanatumia hii nguvu ili siku wakikaa meza moja wapate wanachotaka. CCM walilijuwa hili ndio maana wamekuwa wanalipinga, kwa sasa wanatumia chokochoko. Hawa watu ni hatari sana kama wanania nzuri hawa Sauti ya wa Tanzania ni kina nani? kwanini wanajificha hawasemi ni kina nani? wanaogopa nini?
Bottom line ni Waarabu hawatakiwi ila sio foreigners.Bottom line hatutaki Bandari zetu zigawiwe kwa foreigners mkilazimisha msije kurukana huko mbele kwani ni lazima mtalipa, Watanzania wengi hawataki hivyo ni kama mlivyosikiliza na kumwachia W.Slaa pia na hili msikikize sauti ya wengi ni sauti ya Mungu …
Nitakujibu Na.3. Atasikilizwa Mkubwa, SASA chagua wewe kati ya BAKWATA na TEC nani Mkubwa!1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Wananchi tumeshawakilishwa na Bunge letu na wameridhia vile vile Mahakama Kuu ya Tanzania imeshabariki.Kazi iendeleekati yao hao woote hakuna askofu lofa hata mmoja. pia, usifikiri serikali ni miunguwatu wanaotuamulia maisha, wao ni waajiriwa wa wananchi, kuna siku watatoka, na wanatakiwa kufanya kile tunachokipenda wananchi, tusichokipenda hawatakiwi kufanya kwasababu sisi tunaowalipa mishahara kwa kodi zetu hatujakipenda. ukiwa na akili kama hii utakuwa umepata ukombozi, ila kwa namna ulivyo sasa unastahili kuishi porini na wanyama kwasababu huna tofauti na akili za nguruwe anayezaa watoto akawala yeye mwenyewe.mnajifanya mnaongoza wakati mnakula rasilimali zetu na kusumbua wanaowashauri. manguruwe makubwa nyie.
Ogopa tumbo likisikia njaa
Riziki haramu zimekatwa
Mirija imefyekwa
Bandari ndio walikuwa wanaingiza bidhaa na kusingizia misamaha na pia wanakitakatishia fedha huko
Waache kelele tunajua wamekula vya haramu tangu uhuru
Wakomae na sadaka makanisani huko nchi haiendeshwi kwa matamko ya kipumbavu ya maaskofu uchwara.
wabunge wanatakiwa kuongea kile wananchi wao wanataka, kile wabunge wamekiongea na kukiruhusu hawajamwakilisha mwananchi yeyote, ndio maana wananchi waliowatuma hawakubaliani na walichokipeleka bungeni, bunge lenyewe ni la chumia tumbo watu wanapelekwa kwanza dubai wakirudi ndio wakubaliane unahisi hakuna rushwa hapo?Wananchi tumeshawakilishwa na Bunge letu na wameridhia vile vile Mahakama Kuu ya Tanzania imeshabariki.Kazi iendelee
Kwamba mnaweza kuwakamata Maaskofu? Nimekaa paleeee! Mkitaka mfutike kwenye USO wa hii nchi guseni hata upindo wa vazi la mmoja wao!Mimi ni mwananchi lakini sijagawanyika labda watupe majina ya watu waliogawanyika,au wao ndiyo wamegawanyika kwa kunyimwa $ ? Watambue kesi zipo nyingi wasione wakina mdude wameachwa wakazani kesi zimeisha tuna kesi za aina nyingi za kuwasotesha rumande
Naunga mkono hojaHao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Hahaha hawa hawa mapdri wa kikatoliki tafadhali aisee sitaki kusikia hata mazoea tu sitaki wana tabia mbaya sana. Nimeacha kwenda kanisani kwa sababu ya kuharibu watoto nimepiga marufuku.kabisaPadri mmoja ni wewe na ukoo wenu mzima.
Inawezekana mwenzetu hujui maana ya bunge na nguvu yake.wabunge wanatakiwa kuongea kile wananchi wao wanataka, kile wabunge wamekiongea na kukiruhusu hawajamwakilisha mwananchi yeyote, ndio maana wananchi waliowatuma hawakubaliani na walichokipeleka bungeni, bunge lenyewe ni la chumia tumbo watu wanapelekwa kwanza dubai wakirudi ndio wakubaliane unahisi hakuna rushwa hapo?