Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Inawezekana mwenzetu hujui maana ya bunge na nguvu yake.
ninajua sana, hasa kama bunge linalojifanya linawakilisha wananchi linaruhusu mambo ambayo hata mwananchi asiyesoma kabisa anayakataa. bunge linalopelekwa kwanza dubai kuonjeshwa mpunga ili likirudi lipitishe jambo ambalo wananchi waliowapeleka bungeni hawakubaliani nalo.
 
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!

Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!


Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Pole Abdul
 
wale wavuta bangi wa TEC sio wa kuwasikiliza

1692370323129.png
 
HIZI MAMBO ZA DINI KWENYE MASWALA YA SERIKALI WAPI NA WAPI.

WANANCHI TUNA WAWAKILISHI WETU
WANAO TUWAKILISHA KWENYE MAAMUZI YA NCHI YETU
SASA HII SIJUI KANISA LINAWAWAKILISHA WANANCHI WAPI HAO
MBONA MAMBO YA HOVYO HAYA
 
kazeni ,shingo akianza kupewa TUNDU LISU nafasi ya kusalimia watu makanisani ,msiaze kusema

Kanisa ,linaingiza siasa
 
Akina Henock wa Saint George wamewafunga magoli akina Abubakari wa KMKM.

Matokeo ni 2/1

Bingwa atapatikana mwishoni, tuwe watulivu maana lolote linaweza kutokea huko mbeleni.
 
Mkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo

Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA

Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Mfalme Zumaridi kawaharibu kweli
 
Back
Top Bottom