Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Hawa Maaskofu si ndio walioata mgao wa ESCROW?

Wana Moral Authority ya kuwasemea watanzania?

Na waislaam wakisema tumfuate nani.
Serikali iendelee na utaratibu wa uwekezaji.
 
Bottom line hatutaki Bandari zetu zigawiwe kwa foreigners mkilazimisha msije kurukana huko mbele kwani ni lazima mtalipa, Watanzania wengi hawataki hivyo ni kama mlivyosikiliza na kumwachia W.Slaa pia na hili msikikize sauti ya wengi ni sauti ya Mungu …
Kwani TICS ni wazawa? Au umekaririshwa kanisani?
 
Watu wanaosapoti ule mkataba vilevile ulivyo wanapatikana jamii forums tu na mitandao ambayo watu hawajulikani majina yao halisi. Tangu hili sakata lianze sijawahi kukutana na ndugu, jamaa au rafiki anaye sapoti huu mkataba. Kila sehemu ninapoenda watu wote wanakandia sana. Hata mleta mada vijiweni au maofisini hawezi kuutetea. Ni kichaa peke yake atakubaliana na vile vipengele vinginevyo kama mtu ana maslahi binafsi au kashalamba ela za DP WORLD 🌎.
Hujawahi kumsikia Tulia Ackson, Nape Nnaye. Jerry Silaa, Kuna mkataba wa Kanisa Katoliki na Serikali wa kurudishiwa mashule na hospitali wakati taasisi nyingine hawakurudishiwa aliwahi kuulizwa nani kabla hawajasaini?
 
Kun
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!

Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!


Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mun
Mtanzania wa kawaida mwenye uelewa wa kawaida saaana,anahofu kuu juu ya yale yaliyotokea yanayofanana na hili, watanzania tunajua na, vijana wetu tunawajua,wazee wetu tunawajua/tuliwajua, viongozi wetu tunawajua/tuliwajua waliyofanikiwa na ambayo hawakufanikiwa iwe ni kwa manufaa ya taifa au ya makundi waliyoyachagua.Chukua muda tafakari maoni, mawazo na mitazamo yao,na kwa pamoja kama taifa tutapata jibu lililo bora zaidi.sii kwa manufaa ya makundi ya kibaguzi ila tutaweza kuyaona manufaa ya taifa yalipo na yatakapo patikana.🤔
 
Mimi nimeuliza maswali yenye hoja
Kwa vile unakwepa hoja za TEC? Wewe ni mtu mmoja tu, weledi wa kupingana na hoja za viongozi wa TEC uwezo huo huna. Na nakuhakikishia kama Samia Hussein asipofanya yanayotakiwa, hii ishu itaenda hadi level ya vigango, na matokeo yake yataonekana uchaguzi mkuu 2025. Na huu utakuwa msimamo wa Wakristo wote kwa ujumla ikija uchaguzi mkuu.
 
Mkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo

Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA

Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Kutoka kwa kanisa au siyo
 
Kwa vile unakwepa hoja za TEC? Wewe ni mtu mmoja tu, weledi wa kupingana na hoja za viongozi wa TEC uwezo huo huna. Na nakuhakikishia kama Samia Hussein asipofanya yanayotakiwa, hii ishu itaenda hadi level ya vigango, na matokeo yake yataonekana uchaguzi mkuu 2025. Na huu utakuwa msimamo wa Wakristo wote kwa ujumla ikija uchaguzi mkuu.
Waende mpaka kwenye vigango alafu waislamu na wengine waseme waende nchi nzima nao kuunga mkono muone kama tutakuwa na Tanzania moja. Nchi haiongozwi na kanisa wala misikiti
 
Kwa vile unakwepa hoja za TEC? Wewe ni mtu mmoja tu, weledi wa kupingana na hoja za viongozi wa TEC uwezo huo huna. Na nakuhakikishia kama Samia Hussein asipofanya yanayotakiwa, hii ishu itaenda hadi level ya vigango, na matokeo yake yataonekana uchaguzi mkuu 2025. Na huu utakuwa msimamo wa Wakristo wote kwa ujumla ikija uchaguzi mkuu.
Waende mpaka kwenye vigango alafu waislamu na wengine waseme waende nchi nzima nao kuunga mkono muone kama tutakuwa na Tanzania moja. Nchi haiongozwi na kanisa wala misikiti.
 
Waende mpaka kwenye vigango alafu waislamu na wengine waseme waende nchi nzima nao kuunga mkono muone kama tutakuwa na Tanzania moja. Nchi haiongozwi na kanisa wala misikiti
Wewe ni mpumbaavu. Hata waraka wa TEC inaonekana hujausoma. Waraka unasema Samia Huseni ndiyo chanzo ch kuligawa Taifa kwa huu mkataba wake USIOKUBALIKA na Waarabu wake.
 
Wewe ni mpumbaavu. Hata waraka wa TEC inaonekana hujausoma. Waraka unasema Samia Huseni ndiyo chanzo ch kuligawa Taifa kwa huu mkataba wake USIOKUBALIKA na Waarabu wake.
Sasa mbona unakasirika na kits wenzio pumbavu, kwani wote lazima tukubaliane na maaskofu
 
Wewe ni mpumbaavu. Hata waraka wa TEC inaonekana hujausoma. Waraka unasema Samia Huseni ndiyo chanzo ch kuligawa Taifa kwa huu mkataba wake USIOKUBALIKA na Waarabu wake.
Nadhani wewe ndo mpumbavu!! Samia ameligawaje taifa? Waarabu wake ndo lugha gani hiyo? Kwa tabia hizo unaonekana kabisa una tabia za kipuuzi za kibaguzi.
 
Wapi imesemwa uwekezaji maana yake ndo hiyo? Hao waliofanya uwekezaji huko Southampton maana yake uingereza hawawezi kuendesha Bandari?

Akili ya wapi iyo? Wao wanavyopelekwa Vatican. Au kwenye mataifa mbalimbali kufanya kazi ya Bwana maana yake watu wa mataifa hayo hawawezi kufanya kazi ya Bwana?
Acha kubagaza jina la jaji. Wewe jiite mlalanjaampakaupewemabaki
 
Kama hamkubaliani pangueni hoja za TEC kimantiki na siyo kutuletea mipasho
Kwa hiyo unakubaliana na TEC kuwa wengi wasikilizwe hivyo turudi kwenye mfumo wa Chama Kimoja maana kipindi hicho watu wengi walipendekeza tuwe na mfumo wa Chama kimoja!!
 
Back
Top Bottom