Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #81
AiseeUnatamani aje bongo ili ukamdangie,wasafi umewatema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeUnatamani aje bongo ili ukamdangie,wasafi umewatema
Kwani unateseka?Ulimbukeni wa pesa wanakuwaga nao waafrika nadra sana kukuta mzungu, Mchina,mhindi mwenye pesa chafu akafanya kufuru.Thus pesa zao urithiwa vizazi kwa vizazi
Chawa teena au kumdangia?[emoji848]Tukitaka kuwa chawa wake tunampataje [emoji58]
Nimeona tofautKwani unateseka?
Kudanga siwezi bora uchawa ntapata hela nyingiChawa teena au kumdangia?[emoji848]
Hio nafasi ya kuwa chawa wake unapata wap na nan anakupa ila kumdangia yeye na wapambe wake mbona freshKudanga siwezi bora uchawa ntapata hela nyingi
Ni ulinzi juu ya ulinziSasa huyu walinzi wa nini wakati ye mwenyewe ulinzi tosha
Sawa.Huyo ni mmarekani sio muafrika.
Si kweli, kisa Cha kubundwa unakijua vizuri, bondia Yule nilikuwa namkubali kweliMashali alikuwa kibaka yule.
Watakwambia kidimbwi au wavuvi camp shubaamit.Sasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? [emoji23][emoji1787] bongo mna store ya gucci?[emoji23]
Ni kweli anajua ngumi lakini,huyo ni celebrity,Kwake kila anachofanya au kufanyiwa kinaweza kugeuka pesa muda wowote,wale bodyguards kazi yao ni kumlinda, kuzuia watu kumkaribia na pia kusafisha njia hasa kwenye kadamnasi.Sasa mtu anajua ngumi walinzi wa nini?
Ulizia hotel zilizopo ngorongoro au au Serengeti.Sasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? [emoji23][emoji1787] bongo mna store ya gucci?[emoji23]
Wewe na mimi nani anamjua Thomas Mashali vizuri?Si kweli, kisa Cha kubundwa unakijua vizuri, bondia Yule nilikuwa namkubali kweli
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Biligate hana maajabu na sio mtu wa starehe .Ulizia hotel zilizopo ngorongoro au au Serengeti.
Anakuja bilgate analala Serengeti ndio ije kuwa Huyo mwanandondi
😂😂😂😂😂😂Watakwambia kidimbwi au wavuvi camp shubaamit.
Waambie money Floyd myweatherUnamjua Floyd kweli wewe au unamsikia? Kwa taarifa yako Floyd ana miliki ndege sio chini ya tano, ana miliki magari ya kifahari sio chini ya 30 ,ana majumba sio chini ya 8.