Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Kwa mwakibete nimefurahi sana kiachwa. ..
 
Baaraza la mawaziri goigoia huwa linabadilishwa kila kila mara ile kufisha ugoigoi wake. Ukiwa rais halafu ukategema kufurahishwa atu fulani kwa kutoa vyeo kwa watoto wao au wao wenyewe, basi hao ndio watakaokuharibia. Spiderman alisema "with great power comes great responsibility".
 
Yule naibu wa Maliasili kwa kweli ni zero kabisa.Kama January tu.Sema Mary na Ms Mabula wana damu ya kunguni.Maana January kabadilishiwq wizara pamoja na kuvurunda.
Angela ni kiongozi msikivu sana tatizo hafikiki kirahisi, anautendaji mzuri mno, lakini kwa sehemu kama wizara ya ardhi yenye watumishi sugu, wezi, matapeli, uchu wa rushwa, bila kutengeneza dawati au muda wa kukutana na malalamiko sugu, ni lazima UONE KANE ZERO.
-DAWATI OVU LA KINONDONI.

Wenyewe wanaita kupiga mbata, yaani "ukizubaa unapigwa tu"
 
Yule jamaa aliyepata ajali Dom akiwa na demu kapona kweli?
 
Yaani kabisa kuna mandizi pia kibao yanaenda mikoa yote bado barabara serikali haitaki kutengeneza sehemu yenye uchumi mkubwa kama hiyo wanatengenezea barabara mitaani za wauza maandazi na vitumbua wa dar es salaam
Tatizo Dar ndo kwenye uchumi mkubwa hata hizo ndizi mnazolima ndoto zenu ni kuja Kuuza Dar
 
Sasa
Yaani kabisa kuna mandizi pia kibao yanaenda mikoa yote bado barabara serikali haitaki kutengeneza sehemu yenye uchumi mkubwa kama hiyo wanatengenezea barabara mitaani za wauza maandazi na vitumbua wa dar es salaam
Hapo shida ni Mbunge?!
 
Tatizo sio mawaziri, tatizo ni Watanzania wote wenye kuhitajika kuzalisha serikalini kufanya kazi kwa mazoea pasipo na tija yeyote...

Watu hufurahia tu kupata kazi na wala sio kazi kupata watu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…