Mayele aliianzisha vita ambayo haiwezi, kulia lia hakutomsaidia kitu

huyu ni nani?
 
Gongowazi wana ushetani mwingi sana mimi nilijua yameisha kumbe bado wanaendelea kumtumia majini mtoto wa watu.
 
Huyu anataka kwenda Kolobwanji anatafuta sababu Yanga wasimzuie Kama mkataba wa kuuziana Yanga na Pyramid unazuia asiuzwe Simba au Azam kabla ya Yanga kupewa nafasi ya kwanza kumnunua wakimhitaji.
 
Yanga na wanayanga wajifunze kupotezea... Msiwaandame mno wachezaji wanaotoka njee ya yanga.
Huu ni ushamba wa kiwango cha lami. Sijawahi ona jambo kama hili kwa simba na wanasimba kwa ujumla.
Anyway mtoto umleavyo ndivyo akuavyo...
Wameondoka wengi Yanga waliopendwa hata kuliko hawa kina Mayele,na wala hawakutukanwa. Tatizo ni pale wanapoanza kukashifu timu. Majibu wanayapta kwa mashabiki wafia timu ambao ukiwaheshimu wanakuheshimu,ukiwadharau wanakudharau.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapana. Mashabiki wa Yanga wamekuwa wakimfuatilia Mayelle na wachambuzi wao. Akifunga wanampost kuwa kafunga, asipopangwa wanasema anasugua benchi, hilo la majini limeongezea kasi tu.
Zilikuwa zinaanzishwa nyuzi' Leo katetema'. Shobo. Nzi WA kijani Wana shobo balaaπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
ALIKOSEA KUJA KUCHEZA TANZANIA...HALAFU MASHABIKI MAKOLO YANAKWAMBIA MAYELE KASHASAINI MKATABA NA KOLO FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…