Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

Ngoja kwanza nitazame pira penaiti ntarudi baadae...
Mayeleeeeee
 
Kwanini wanacheza rafu sana ?
 
Mungu awape nini tena haya wapo 11,ingekuwa Yanga tungewasikia "GSM hao....... washafanya yao.......",leo ndio mnajua kadi nyekundu ni sehemu ya mchezo .

Haya kazeni viuno na mpira ukiisha na matokeo yakibaki hivyo tutawasikia "GSM wamewapa hela Mbeya City wakaze.........".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…