Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni dakika ya mia na hamsini na mbili...!!! (Watani wamalala na viatu). Ha h ha haaaaa!GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOL
JOHN BOCCO ANAIANDIKIA SIMBA GOLI LA KUSAWAZISHA
Dah!Plus Wakili Msomi Bernard Morrison! [emoji51][emoji51] Washambuliaji makatili John Boco, Chris Mugalu na Meddie Kagere!! [emoji16][emoji16][emoji16]Viungo wakali akina Nungunungu [emoji51][emoji51][emoji51], Kanoute, Mzamiru [emoji16][emoji16]
Kuna timu ya kuwazuia kuchukua point zote 3 muhimu kweli?
Vipolo mwaka huu haviliki! Mpaka dakika za lala salama, mtaishia tu kujipa moyo. Ila kusema ule ukweli simba ya kupigania Ubingwa kwa msimu mwingine tena, haipo!Ngoja tusimalize maneno..so far utopolo wako na advantage..but haijasha bado mpaka iishe..
Muonee huruma huko aliko...!Kichapo si kizuri hiki.Dah!
Makolo mmeliwa kiboga leo,na badoMadokta tushatia maguu unyakyusani
Mbeya city wajichagulie bega
Mwananchi meenzangu nafuatilia comments zako humuUbavu wanao best. 🤣
Hongera babra !!!umepona ....Simba akishinda leo naweka hapa, PICHA YANGU, KITAMBULISHO CHA KAZI, MAJINA KAMILI NA FAMILIA YANGU. Najua mtakuwa na MSHANGAO sana kwa kutoamini kuwa huyu mtu msumbufu humu ndani ndio huyu.
Sikupingi..Vipolo mwaka huu haviliki! Mpaka dakika za lala salama, mtaishia tu kujipa moyo. Ila kusema ule ukweli simba ya kupigania Ubingwa kwa msimu mwingine tena, haipo!
Timu ina mapungufu mengi ya kiufundi! Na kwa sasa inatembelea tu nyota ya umaarufu wake na baadhi ya majina ya wachezaji wake maarufu.
Kaa usubirie kulifukia gape la point 5 au 8 kabisa kama tutazingua kwenye kiporo.Hutokaa ujue mpira milele😂😂
Maskini nawahurumia OKW BOBAN SUNZU na GENTAMYCINE sijui kama watalala usingizi leo.Mie nipo kolola. Hakika usemalo. 😀
Amechukua fomu kugombea uspikaMuonekano wa mashabiki wa Manolo fc leoView attachment 2085208
🤣 🤣 🤣Hapa hakimbii mtu sisi ndio baba Sako hapa hatuwezi ogopa kutanguliwa na watu kama Hawa 🤣
Tulia Hivyo Hivyo Dawa Ikuingie.ni kama uongozi hautazami mpira,hapa kocha anatakiwa kupewa maelekezo na uongozi. kama yeye anaona mchezaji mzuri basi waondoke wote