Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi na familia yangu tunamsifia na kumuombea Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Kama Mimi nafanya hivyo basi ujue Mdude na familia take ni mara 1000.Mdude sasa hivi kazi yake itakuwa ni kusifia Samia tu
hujui sheria ni Kama game,unaweza ukarambisha dume,hata Kama ulikuwa ulambe jike!!.so ni muhimu kusimama na mtu,ili kumpa sapoti hsijalishi ako na situation gani.Mtu kama ana kosa na mahakama ikaona ana kosa anafungwa, sio kupigania
Yeah alishikishwa ukuta na dingi.....Kama alichokipata mama yako baada ya kushikishwa ukuta jana
Mbona unapoteza muda wako Kaka?Natoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani
Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe na RPC wa Mbeya , Biswalo Mganga (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania, ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi.
Hutaona mdude akitoa lugha za nyumbani kwao tena! Kanyooshwa kawa kama rulaMama anazidi kufuta legacy ya lile jambazi
Ila jamaa ameteseka sana sana
Yaani kimombo umemaanisha Coal Siyo? Tuongezeee nakingine aisee ili hata jivu lisibakiKuni zichochewe ikibidi makaa ya mawe....
Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya...
Subiri uone kama mdude atarudia ujinga! Sasa hivi ni full adabuLini Mdude alimtukana Rais? Huyu mume wenu aliyeko motoni sasa hivi alikuwa hataki kukosolewa.
Dada naskia umepata mp matundu yote mawili baada ya taarifa ya mdude[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi akipitia yale matusi kwenye account yake atakuwa anajuta sana!
Sasa hivi ni full adabu
Msimpotoshe mama wa watu,acheni apige kazi,kazi zake ndizo zitakazo m judge abaki au tuweke mgombea mwingine.Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
2025 Samia atashinda kwa 99%
Pale alienda kunyooshwa siyo kuteswaMsifurahie mateso ya Binadamu mwenzenu.
Nimeanza kampeni tayariMitano tena kwa mama!!
kwa style hii 2025 akigombea nitampa kura ya ndiyo
NAMWONA RC MTEMGULIWA MB AKIPATA CHOOO KIGUMU GAFLAALeo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya...