Ponti dhaifu....kwanini naitakidi kuwa ni dhaifu?Wahamiaji hao,wanyakyusa hawana upuuzi wa kuuana
Wacha ujinga wewe!Bila kupindisha maneno chanzo ni mwanamke kutoka nje ya ndoa.
Wewe mwendawazimu acha umalayaBeesmom nimeshtuka kweli, huwa nashauri mara nyingi wanawake wawe na mahusiano na watu wenye hofu ya Mungu. Mimi kama tumegombana na tumrkosana huwa nachukua uamuzi wa kukuacha tu. Hata kibao siwezi kupiga
Mwanamke alikuwa kisu na hapo kazaa, najua hapo mzigo kama wote. Sema jamaa ukiangalia picha yake unaona hakuwa normal hata kidogo... Pole sana kugongewa, na mie nilipigiwa manzi niliumwa aisee kwa stress 😂😂😂😂Wee bwana hivi mnajua maumivu ya kutombewaa mwanamke nyie?
Mie nilikuwa na sexmate ila siku nikaja kujua kabisa kuwa anatombwer na njemba nyingine sikulala wiki nzima. Ndio itakuwa mke...tusichukulie poa
Aisee nawe walipita na demu wako. Wanawake hawaMwanamke alikuwa kisu na hapo kazaa, najua hapo mzigo kama wote. Sema jamaa ukiangalia picha yake unaona hakuwa normal hata kidogo... Pole sana kugongewa, na mie nilipigiwa manzi niliumwa aisee kwa stress 😂😂😂😂
Chanzo cha kutoka nje ya ndoa ni mwanaume kutompelekea moto kisawasawaBila kupindisha maneno chanzo ni mwanamke kutoka nje ya ndoa.
Ujinga kipeuo Cha piliHuyu mwanaume mjinga sana, afufuliwe na apelekwe gerezani ili ahukumiwe kunyongwa hadi kufa.
ndio katika watu hao uliotaja kind ni mnyakyusa.Ponti dhaifu....kwanini naitakidi kuwa ni dhaifu?
kwa sababu hayo ni maswala ya mtu na mtu na sio kujumlisha kabila zima au jamii nzimaa....watu hutofautiana uwezo wa kuvumilia mambo katika vifua vyao na sio kuwa watu wa jamii flani wanaweza kustahimil na watu wa jamii flani hawawezi.....
hata hizo jamii ambazo ni korofi ama zinanasibishwa na ukorofi wapo watu wake amabao kwamba wapo zaidi ya kind mkuu
1.mlango ulifungwa Kwa ndaniWamejuaje kama huyo mwalimu ndo kaua, vipi kama wameuawa?!
Au kujibiwa hauna hadhi ya kuzaa na mimi, hawa si wako baba, waone hivi hivi.Bila kupindisha maneno chanzo ni mwanamke kutoka nje ya ndoa.
Nimeangalia picha za hao Watoto nimebaki nalia tu moyoni. Huwa ni mtu ambae nikienda hospital na kukuta kuna watoto wanaumwa huwa nakosa raha kabisa.Moyo umeniuma kweli yaan