Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
kuwauwa watt sio sahihi kabsa mkuu. lakn pia usi underate mateso wanayopitia watt yatima. kama haijawai kukupata ww au mtu wako wa karibu shukuru mungu..Kuna mambo ukiyasikia wanafanyiwa mayatima ww mwenyewe utakubali kwamba ni heri wangeungana na wazazi wao uko akhera.Duuu una mawazo potofu wewe kijana eti watalelewa na nani,kenge kweli
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Leo hata Spika katoa maoni kama niliyotoa mimi hapa!Maoni binafsi;
Mimi naona ni bora taarifa hizi zisitangazwe maana kuna watu wanatamani kuwa kama akina flani(role model).
Flani ikitokea katingwa na jambo aweza kujisemea,"Nitajiua kama yule mwalimu wa Mbeya,
Nitajiua na kumteketeza mke/mme wangu kama yule jamaa wa Mwanza,
Nitajirusha toka ghorofani kama yule sister wa Bugando n.k n.k
Kwahiyo ni vema sheria itamke wazi kwamba alefanya hivi hastahili hata kuandikwa ktk media yoyote!
Au mnasemaje ndugu zangu!??
Victoire ametoa jibu sahihi, hayo ni matatizo ya akili. Mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya hivyo, hata sababu iwe kitu gani.Haujakutana na mke pasua kichwa anakupa msongo wa mawazo mpaka unakuwa chizi fresh
Mmejuaje kama muuaji ni mwanaume?View attachment 2356124
Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.
Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.
Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).
Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.
Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Ndo unavyojidanganyaMjitahidi kuoa darasa la saba ili mfurahie maisha.
Mara nyingi std 7 wako kulinda vibarua vyao, sema tu wana wivu lakini hauna madhara
So sad! Wanawake tulieni na ndoa zenu..!! Au msiolewe basi.
Kwahiyo huko makete na Katavi ndiko kuna wanawake wabaya?Ushauri wangu kwa vijana.
Usioe mwanamke mzuri, nenda Makete au Katavi ukapate mke mchapakazi na mwenye kujiheshimu.
Jitahidi kuoa flat screen maana Hawa sio rahisi kutongozwa. Njoo Marangu upate jiko linalojituma.
Lakini wote hawakuwa wenyeji wa paleKatavi si ndio yule eng mwalimu wa tanga aliua mke kwa mambo ya usaliti?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Utakuwa mchawi wewe, sio bure eti watalelewa na nani!Ukiwaacha watoto watateseka babu. Nani atawalea
Mwanamke alikua pisi kali mapaja laini tatizo aliolewa na msukuma tu mlugaluga
🤣🤣🤣Kama huna akili usioe
Aisee ni kweli. Mishahara miwili ndani ya familia moja ni pigo ktk mahusiano endelevu.Shida ya ndoa za mwanaume na mwanamke wote waajiriwa hua zina migogoro sana. Nilishasema na nitasema tena mke apaswa kukaa nyumbani wakiwa na vijiajira hua wanakua natdharau, na dhihaka za mwendo kasi.
Kufikia kuua mke na watoto huyo mwanaume yalimfika hapa. NIONYESHE MWANAMKE MWENYE AJIRA ALIE MNYENYEKEVU KWA MUME WAKE NA MIMI NITAKUONYESHA MBUZI ANAETAGA MAYAI.
Jamaa mzambia uyoMwanamke alikua pisi kali mapaja laini tatizo aliolewa na msukuma tu mlugaluga