Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Duuu una mawazo potofu wewe kijana eti watalelewa na nani,kenge kweli

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
kuwauwa watt sio sahihi kabsa mkuu. lakn pia usi underate mateso wanayopitia watt yatima. kama haijawai kukupata ww au mtu wako wa karibu shukuru mungu..Kuna mambo ukiyasikia wanafanyiwa mayatima ww mwenyewe utakubali kwamba ni heri wangeungana na wazazi wao uko akhera.
 
Kuna nini jamani!! Kwanini hali hizi binadamu tunaanza kuzizoea!!?? Hata wanyama hawana!??

Whats wrong!?
 
Kutokana na ugumu wa maisha, binadamu wamekuwa na hasira za karibu karibu
 
Baada ya miaka kadhaa ijayo ndoa itakuwa taasisi hatari sana
 
Maoni binafsi;
Mimi naona ni bora taarifa hizi zisitangazwe maana kuna watu wanatamani kuwa kama akina flani(role model).

Flani ikitokea katingwa na jambo aweza kujisemea,"Nitajiua kama yule mwalimu wa Mbeya,
Nitajiua na kumteketeza mke/mme wangu kama yule jamaa wa Mwanza,
Nitajirusha toka ghorofani kama yule sister wa Bugando n.k n.k

Kwahiyo ni vema sheria itamke wazi kwamba alefanya hivi hastahili hata kuandikwa ktk media yoyote!
Au mnasemaje ndugu zangu!??
Leo hata Spika katoa maoni kama niliyotoa mimi hapa!
 
Haujakutana na mke pasua kichwa anakupa msongo wa mawazo mpaka unakuwa chizi fresh
Victoire ametoa jibu sahihi, hayo ni matatizo ya akili. Mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya hivyo, hata sababu iwe kitu gani.

Kumbuka, wagonjwa wa akili wako wengi tunaishi nao, hatuna ujuzi wa kuwagundua wala teknolojia ya kuwatibu.

Ukiiangalia picha ya huyo muuaji vizuri, jinsi alivyokunja sura, ni kama wanavyofanyaga watu walioko mirembe.
 
View attachment 2356124

Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.

Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.

Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).

Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.

Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Mmejuaje kama muuaji ni mwanaume?
 
Picha zaidi…
a43686a3-4ae0-4d3e-a30c-1e08ed71cc4f.jpg

a475dec1-ef82-4d6a-a551-34105992e56b.jpg

09dc8f09-7b13-4022-8be4-ea773dc975c1.jpg

7b9ba5a0-a8c0-4d44-8a3b-da1e51234bae.jpg

cf17edf2-d88a-4e5d-83e2-2fddf7f061ee.jpg
 

Attachments

  • a435611c-6d14-4e1f-b395-a62582e6089b.jpg
    a435611c-6d14-4e1f-b395-a62582e6089b.jpg
    51.2 KB · Views: 3
Ushauri wangu kwa vijana.
Usioe mwanamke mzuri, nenda Makete au Katavi ukapate mke mchapakazi na mwenye kujiheshimu.

Jitahidi kuoa flat screen maana Hawa sio rahisi kutongozwa. Njoo Marangu upate jiko linalojituma.
Kwahiyo huko makete na Katavi ndiko kuna wanawake wabaya?
 
Shida ya ndoa za mwanaume na mwanamke wote waajiriwa hua zina migogoro sana. Nilishasema na nitasema tena mke apaswa kukaa nyumbani wakiwa na vijiajira hua wanakua natdharau, na dhihaka za mwendo kasi.

Kufikia kuua mke na watoto huyo mwanaume yalimfika hapa. NIONYESHE MWANAMKE MWENYE AJIRA ALIE MNYENYEKEVU KWA MUME WAKE NA MIMI NITAKUONYESHA MBUZI ANAETAGA MAYAI.
Aisee ni kweli. Mishahara miwili ndani ya familia moja ni pigo ktk mahusiano endelevu.
 
Hizi taarifa ifikie mahali wasituambie naona zinapromote ushetani
 
Back
Top Bottom