Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Mbona alikuwa sahihikuna siku nilimsikia binti yangu wa stndrd two akisema mwalimu wake hana akili, aisee nilimwambia atubu na akamwombe msamaha mwalimu wake. kama mwalimu hana akili maana yake na mwanafunzi hana akili. akaleta mambo ya why why dad>? nikasema mkubwa akikosea unamwambia kwa heshima, huwezi pwayuka kuwa mwalimu hana akili. jifunze kupuuzia wajinga na kujifunza kuacha kufanya ujinga kimya kimya and not shouting mwalimu hana akili... tabia mbaya za kijeuri nyingine zinaendekezwa na wazazi
Nendeni nao taratibu wasije kuwaharibia reputation, at the same time jaribuni kuwaweka sawa! BALANCEWanafunzi wa sikuhizi [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!!
Ni kweli ....Mkongwe uko sahihi kabisa.
Ila zama zimebadilika sana
Sio kama enzi zenu mboko ndo zilikua zinaongea Leo hii hawa watoto wa 2000's
Wana balaa wako moto
Pia nyie kama wazazi hamna makali kama enzi zile
Sisi ukitumwa Dukani unapewa muda sasa kama una nguvu weee neng'eneka tu humo njiani.
Leo hii pia matumizi makubwa sana ya teknolojia yanatumika mixer siasa mara kule haki za watoto
Yani jambo dogo linakua kubwa na kubwa ni kubwa kuliko .
Walimu jitazameni... Kwani chakufia nini?
Kama aliyekuwa anadinywa angekuwa ni binti Yako ndio ungeuona vizuri umuhimu wa RC kuwepo kwenye hilo tukio.RC hana kazi za kufanya, ni sawa na yule DC wa tunduru aliyekwenda kufumania.
USA na wenzie wa Europe wangekuwa na viongozi kama hawa sidhani kama wangefika huko Mars au kutengeneza drones na haya masmart phone.
RC na DC mjifunze kudeal na mambo makubwa makubwa yanayoleta tija kwenye ustawi wa jamii kwa kutumia akili zenu kubuni mambo tofauti tofauti.
Ni mwalimu mjinga tu ndiye atakae tumia nguvu nyingi kuhangaika na mtoto wa mtu aliyefunza ujeuri kwao na wazazi wake.Ni kweli ....
Ila ndo tusiwatwishe walimu mizigo isiyokuwa yao...
Wasije wakatuachia wenetu.
Sijui ni utoto sijui,Kabisaa yaan
Kuna pisi yake hapo,si unajua.....RC alijuaje?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]simu hiziiKuna pisi yake hapo,si unajua.....
Sijui watu wa IYUNGA watasemaje🤣🤣Loleza girls ina manyanyaso sana toka miaka hiyo,
HayajaAnza leo.
Kuna muda mwalimu anamkalisha mtoto nje asbh mpaka jioni kwenye mvua aiseee ni unyama.
Naongea nikiwa na uhakika wa kutosha,, I've been there for yrs.
Kila mtu apambane na hali yake yaan ufanye makosa huko mimi nikutetee kwan huna akili???Huyo ni Mimi,km mzazi wako kashindwa kukunyoosha baasi Mimi siwezi poteza mda,Siku hizi mitandao ndo mahakama zetu
Kitu kidogo wamerusha unajikuta unaingia matatizoni afu wakuu WA Shule waoga sana ujue wanawaruka sana walimu wao
Huwez jua pale alikuwepo mtu wake wembamba wa reli treni inapita kila mtu apambane na hali yake maisha mafupi hayaRC alijuaje?
Ishatengenezwa na hawa wanasiasa uchwara kila mtu apambane na hali yakeMimi ni mzazi, na mwanafunzi wa zamani ninayeelewa mazingira ya wanafunzi na waalimu yalivyo.
Wanafunzi wanapaswa kufuata maagizo na masharti ya waalimu wao. FULLSTOP.
Otherwise tunatengeneza jamii ya ajabu kuwahi kutokea.
Daaah wamewasha moto kweliLabda kama nimesoma vby, nimesoma kama alifunga bweni kwa muda, baadaye akaenda kuwafungulia wanafunzi wakagoma wakaenda kulala darasani ILI TU WA EXAGGERATE ISSUE.
Ila ni kawaida hata nyumbani enzi za balehe ukichelewa kdg mzazi anafunga mlango, anakufungia, kama mtoto unaomba msamaha kuchelewa ufunguliwe.
Hawa wao wameenda kuwasha moto na bahati mbaya jamii inaingia kwenye mtego wa kuwa upande wao... Tunawaharibu zaidi.
Au usalama!!Huwez jua pale alikuwepo mtu wake wembamba wa reli treni inapita kila mtu apambane na hali yake maisha mafupi haya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Poleni sana waalimu, mana kuna muda dhamiri inakudai ufanye kumrekebisha mtoto, ila ukifikiria mambo ya hivi unamwacha tu ajiendee atakavyo..Au usalama!!
Hawa watu wamezagaaa kila sehemu nyie mnadhani mwalimu mwenzenu kumbe undecover[emoji3526][emoji3526]!!
Hatari tupu,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]simu hizii
Kausha wasije kusikiaAu usalama!!
Hawa watu wamezagaaa kila sehemu nyie mnadhani mwalimu mwenzenu kumbe undecover[emoji3526][emoji3526]!!
Wakikua wataacha, wawaulize wenzao.Sijui ni utoto sijui,
Kuna baadhi ya wanafunzi wanafikiri ujeuri wao wanamkomoa mwalimu,
Usalama waende shuleni ndo wawe wanafuatilia mlolongo wa utoaji wa adhabu kwa wanafunzi??bas kazi ipo. Hawana majukumu ya maana ya kufanyaa au?Au usalama!!
Hawa watu wamezagaaa kila sehemu nyie mnadhani mwalimu mwenzenu kumbe undecover[emoji3526][emoji3526]!!
Weee udugu usalama wapo kila idara hujui hilo???Usalama waende shuleni ndo wawe wanafuatilia mlolongo wa utoaji wa adhabu kwa wanafunzi??bas kazi ipo. Hawana majukumu ya maana ya kufanyaa au?