Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Tutaelewana tu kidogo kidogo, tofauti ya mtawala na kiongozi! Mwisho mtachagua tu mazishi au kusafirisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena wakae kwa kutulia!

Nashauri hao majambazi waongeze juhudi ili mzunguko wa hela uongezeke mtaani bavicha wawe wanajiokotea hela.

Na waongeze juhudi ili kuwakomoa mataga, sukuma gang na marehemu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena wakae kwa kutulia!

Nashauri hao majambazi waongeze juhudi ili mzunguko wa hela uongezeke mtaani bavicha wawe wanajiokotea hela.

Na waongeze juhudi ili kuwakomoa mataga, sukuma gang na marehemu
Kawani bado umekwamia Cremia,hujuikama kuna daraja la kuvukia Russia.
 
Muulize mama yako enzi akiwa girlfriend wangu akuambie wakati anakuja home nilikuwa naishi wapi... mwanamke mwenye busara yule ilikuwaje akaja akazaa poyoyo?
Acha undezi wa darasa la tatu unajua sio kweli inakupa faraja gani wakati unajua si kweli kabisa. Could be matatizo ya kisaikolojia ambayo ni trendy jf..mama mama dah
 
Wanaomsifia huyu mama na machadema na yote ni ili kumkomoa marehemu
 
Kwani na wewe Jambazi.kwani umeshafanya ukafanikiwa.
Tulia wewe! Hawa majambazi yanarudisha hela mtaani ili bavicha muwe mnaziokota na kikubwa zaidi wanawakomoa sukuma gang, mataga na marehemu
 
hahah. wewe pia hukuruhusiwa kutangaza Jf? acha uhuni wew
 
Wahusika bank, nani alijua anafuata hela nyingi?? Au watu wake wa karibu! Yupo mmoja mwenye kinasaba cha Juda-is-carrot.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…