Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Unafikiri huo uliisha. Tatizo ilikuwa nani atathubutu kuripoti?
Eti Ee!? Hata wapita njia na Kigogo pia hawakuripoti matukio yaraia wema wakiporwa pesa na kuuawa mchana kweupe kwa miaka 5+ ya JPM? Au ni "sukima gang" wanamhujumu mama?
 
Huyo mwehu anajifanya kumtaja Magu sahizi! Atulie aache mapepe si walidai mama atatuvusha! Kama disko ndio kwanza saa 4 usiku sahizi
Watu wasilalamike awamu hii ni kubembelezana. Polisi wabembelezeni hao majambazi. Msiwakaripie tumieni demokrasia. Awamu hii ni yamaelewano na mshikamano.
Tuko pamoja mama utatuvusha. Kesi ambazo hazina ushahidi achia wote hata kama ni majambazi yaliiba, yakaua, achia wote waende mtaani.
Harafu nanyi majambazi muwe mnabembeleza mnapo pora. Tumesema awamu hii ni kubembelezana.
Hongera Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan. Tunaimani na wewe. Tunakupenda. Tuvushe!
 
mkuu kwa kifupi sasa hivi hii nchi haitishi. kila mtu haiogopi, majambazi, matapeli, mabeberu, wafanyakazi wa umma. wote poa tu
time will tell
Enzi za JPM kuna mtumishi wa umma alikuwa anapita hapa kwangu saa 12 kamili Sharp na baiskeli yake ya Avon akienda kazini, siku hizi anapita saa mbili kwenda na saa saba mchana tunakutana machimboni, hahahaha! Natamani kurudi kwenye ajira mimi!
 
Sawa, suppose mtoa hela aliwaambia washikaji atakwenda kutoa bilioni moja benki, je aliwaambia ni benki gani? Huu mchongo ni wa wafanyakazi wa benki wenyewe, unaitwa inside job na usikute hata bunduki waliazima toka jeshini au polisi.
Miaka mitano iliyopita kiliwazuia nini hao uliowahita inside job? Kwann mara hii wamekuja kwa kasi?
 
Milioni 8 ama 10?

Jambo la pili, kuhamisha pesa kiasi chochote kutoka bank moja hadi nyingine ni elfu kumi tu.

Usitembee na pesa zote hizo unahatarisha maisha yako kwa gharama ndogo sana ya elfu 10 tu.

Sasa jamaa anachukua 8M bank moja anaenda nayo bank nyingine badala ahamishw kwa only 10k tu.
Kima tunajua hayo, tuache tupigwe tu risasi
 
Sio.kweli matukio yalikiwepo hata wakati.wa.JPM tumepoteza ndugu zetu nyamaza kabisa.Hakuna mtu wala.chombo cha habari walikuwa wanatangaza .Ni kama Corona tu tuliaminishwa hakuna ila watu wanakufa tu
 
IMG_20210521_210530.jpg
IMG_20210521_210530.jpg
 
Wewe kufa ukaungane na Magufuli tu,his time is gone na hakuna namna isipokua ukubali tu Tanzania ina raisi mwingine.
 
Hilo tukio usikie tu
Siku moja Masaki kule,kijana mdogo tu wa kihindi aliuliwa mbele ya baba yake. Wote tunaangalia.
Walikua na Bureau de Change pale Sea Cliff Village.
Yule kijana alikua sio mchovu pia anapigana kick boxing na kila kitu,
pale alikua likizo tu maskini anamsindikiza babaake majambazi wakamuuwa mbele yake wakapora fuko la pesa wakaondoka nalo.
Ni kwamba dogo alitoka na gun awathibiti majambazi akatulizwa.
Yule baba yake alilia akapiga magoti kwenye damu ile kama anaswali, Akaondoka hakurudi tena pale Sea Cliff Village miaka hiyo.
Sasa balaa kuna kakaake na huyo dogo alieuwawa Mafia vilevile.
Alianza nao hao nyumba kwa nyumba, ni moto tu,sijui aliua wangapi ninamkumbuka JB aliuliwa Sinza pale kijiweni, ila hapo walikua washaondoka wengi tu.
Yule muhindi alilipiza kisasi mbaya kabisa,
Nilikua mteja wao na nnafanya kazi mitaa hiyo,
So alikua ananionyesha picha kabisa,
"Jana tumelala mbele na huyu, kesho huyu tunammaliza"
Waliuliwa majambazi wote wa5 jumla
 
Hilo tukio usikie tu
Siku moja Masaki kule,kijana mdogo tu wa kihindi aliuliwa mbele ya baba yake. Wote tunaangalia.
Walikua na Bureau de Change pale Sea Cliff Village.
Yule kijana alikua sio mchovu pia anapigana kick boxing na kila kitu,
pale alikua likizo tu maskini anamsindikiza babaake majambazi wakamuuwa mbele yake wakapora fuko la pesa wakaondoka nalo.
Ni kwamba dogo alitoka na gun awathibiti majambazi akatulizwa.
Yule baba yake alilia akapiga magoti kwenye damu ile kama anaswali, Akaondoka hakurudi tena pale Sea Cliff Village miaka hiyo.
Sasa balaa kuna kakaake na huyo dogo alieuwawa Mafia vilevile.
Alianza nao hao nyumba kwa nyumba, ni moto tu,sijui aliua wangapi ninamkumbuka JB aliuliwa Sinza pale kijiweni, ila hapo walikua washaondoka wengi tu.
Yule muhindi alilipiza kisasi mbaya kabisa,
Nilikua mteja wao na nnafanya kazi mitaa hiyo,
So alikua ananionyesha picha kabisa,
"Jana tumelala mbele na huyu, kesho huyu tunammaliza"
Waliuliwa majambazi wote wa5 jumla
Miaka Gani?
 
Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheeza hapa chini!
View attachment 1792209
Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi.

Kutokana na vyanzo vya mashuhuda Jimson alivamiwa alipokuwa ametoka bank na kuporwa na majambazi kiasi cha fedha ambacho mpaka sasa hakijajulikana.

Baada ya kupigwa risasi alipatiwa huduma ya kwanza na kusaidiwa kufika kituo cha afya lakini baada ya kufika hospital akapoteza maisha.

Jeshi la polisi bado linaendelea na uchunguzi na tutaendelea kukujuza kila kinachoendelea.
Ooooh amekuja Farao asiyemjua Yusufu. Kwa sauti ya mzee wa upako
 
Polisi Dar es salaam imetangaza msako mkali wa Majambazi waliosababisha kifo cha Kijana Jimson Kibiki baada ya kumpiga risasi wakiwa kwenye purukushani za kumpora pesa maeneo ya Mbezi Beach.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum DSM Camilius Wambura amesema "tukio lilitokea jana saa saba na nusu mchana alikua ametoka Benki Mikocheni alikochukua kama milioni 8 akaelekea kwenye Benki nyingine Afrikana nafikiri kulikua na matatizo ya kibenki pale kwahiyo akatoka kuelekea nyumbani maeneo ya Juliana"

"Alikua ana milioni nne kwenye mifuko yake ya suruali na milioni nne nyingine kwenye bahasha ndipo alipokutana na hilo tatizo, Watu hao wadhaniwao kuwa Majambazi walimpiga risasi tumboni, akapelekwa Hospitali Mbezi beach kwa huduma ya kwanza baadae Muhimbili ndiko alikofariki"

"Wale ni Watu ambao wameua, lile ni tukio la mauaji.. taarifa ya Polisi ni kwamba tuko mbioni kuwatafuta na kuhakikisha tumewapata na kuchukua hatua za kisheria dhidi yao, kwenye tukio hilo walichukua milioni 4 na kuondoka nazo" ——— RPC Wambura.
Mods huyu kilaza threads zake zote ni za kumshambulia na kumdhalilisha Rais Samia jee mna ubia naye
 
Hilo tukio usikie tu
Siku moja Masaki kule,kijana mdogo tu wa kihindi aliuliwa mbele ya baba yake. Wote tunaangalia.
Walikua na Bureau de Change pale Sea Cliff Village.
Yule kijana alikua sio mchovu pia anapigana kick boxing na kila kitu,
pale alikua likizo tu maskini anamsindikiza babaake majambazi wakamuuwa mbele yake wakapora fuko la pesa wakaondoka nalo.
Ni kwamba dogo alitoka na gun awathibiti majambazi akatulizwa.
Yule baba yake alilia akapiga magoti kwenye damu ile kama anaswali, Akaondoka hakurudi tena pale Sea Cliff Village miaka hiyo.
Sasa balaa kuna kakaake na huyo dogo alieuwawa Mafia vilevile.
Alianza nao hao nyumba kwa nyumba, ni moto tu,sijui aliua wangapi ninamkumbuka JB aliuliwa Sinza pale kijiweni, ila hapo walikua washaondoka wengi tu.
Yule muhindi alilipiza kisasi mbaya kabisa,
Nilikua mteja wao na nnafanya kazi mitaa hiyo,
So alikua ananionyesha picha kabisa,
"Jana tumelala mbele na huyu, kesho huyu tunammaliza"
Waliuliwa majambazi wote wa5 jumla
Umesahau kutia tangawizi
 
Back
Top Bottom