Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

Dada usimalize nguvu zako, una kazi ya kukusanya michango ya harusi [emoji12]
Sasa safari hii hili pilau tuhakikishe tunakula!tutapewa kilema tukimkimbia na shemeji huyu,maana Nimeona kila mtaa wachunba wapya wanakunyemelea🤣
 
Mwanaume anaoa mwanamke ili amtunze. Mpaka hapo wewe siyo mwanaume tafuta kundi lako haraka!
Acha ujinga issue Hapa mwanamke Maskini hata awe na pesa zake Hataki kutumia anataka utumie ww tu, mtoa mada mmoja kaongezea mwanamke mwenye Roho ya kimaskini hafai na hiyo ndio Ukweli wenyewe.
Unajua Ajenda za wazungu wa magharb zimeharbu watu wengi Sana , siku hizi mwanaume ukitoa mada ikiponda kidogo upande wa pili utaskia Mara ooh hv..skia Akili yako imekuwa brain washed na Habari za upinde ...ukiona mwanaume hata mwenyewe sauti nyembamba kidogo...Basi Huyo unamtoa kwenye kundi ...ujinga mtupu
 
Man down... Mtoa mada anataka kitonga, kwaiyo unataka kutuambia mama ako alimlea baba ako alafu nyie ndo mnafanya tuonekane wanaume makali yameisha ivi unajiita mume ndani unawezaje kufanya ilo jambo huvijui ivyo viumbe bwamdogo.. uo ni ugaygay
 
Wewe hizi habari sio za kushawishi watu kama mama ako aliolewa akiwa tajir ni yeye acha watoto wa masikini waolewe nyie ndo wanaume mnatamani na nyie kulipiwa mahari, tafuta pesa mhudumie mkeo mzee baba acha iz mambo
 
wewe utakuwa bonge moja la handsome
ila sisi wenye sura ngumu, bila pesa, utelezi wa bure utakaopata ni wa Vaseline pekee

Hamna Mkuu.
Ishu hapo ni kujiamini, kujiweka kama Mwanaume. Kisha kuwa mjanja mjanja. Sio hata kuongea huwezi hapo lazima Wanawake wakusumbue.

Siwezi TOA Pesa kununua dhambi, siwezi kutoa Pesa Kupata Magonjwa kama UTI, Ukimwi, n.k.
Siwezi kulipia Pesa kununua mikosi Mimi.

Labda tuongee biashara Mimi ndio nilipwe.
 
Nondo Nondo Kali 🔥
 
Man down... Mtoa mada anataka kitonga, kwaiyo unataka kutuambia mama ako alimlea baba ako alafu nyie ndo mnafanya tuonekane wanaume makali yameisha ivi unajiita mume ndani unawezaje kufanya ilo jambo huvijui ivyo viumbe bwamdogo.. uo ni ugaygay
Acha ujinga ww mbona mko brain washed hivyo kila kitu' mnaleta Ajenda za magharib huko ..Hapa Ni Ukweli wa maisha..Alafu ukiona mwanaume unatumia pesa nyingi kumpata mwanamke automatically una mwonekano wa hovyo.
Kuna sie Ambao mwanamke humjui lakin anaanza kukufanisha ...lazma niweze kuchagua status banah.
 
Hubrus....,

Imetokea kasumba ya watu kutaka kuwapangia watu maisha au kudhani wanachopenda wao au kinachofanya kazi kwao ni universal..., Yaani wanadhani maisha yana kanuni na hakuna variables bali constants...

Yaani Ukifanya Hiki + Ukifanya Kile - Usipofanya Hiki = Utapata Hiki; Kwamba hayo yote ni constant kwa kila mtu, Kumbe hayo yote ni Variables...

To each his her own.....

By the way Umasikini ni Nini;
Tabia ? , hali ambayo inabadilika au ni constant kwamba hali hii haibadiliki
 
Sasa hao maskini unataka waolewe na nani kama wote wataoa matajiri?

Umeshindwa kutofautisha hisia na Mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…