We ndo uache ujinga beside kila mtu hapa anasema from their experience wewe sasa inakuuma nnAcha ujinga nenda, department ya veterinary medicine na BLS kaangalie idadi ya maprofessor wakisukuma na kihaya, mambo mepesi someni nyie wachaga.
Utakuwa ulikuwa kampus ya mazimbu huko ndio mmejaa.Nimesoma SUA pia ila naona wapare na wachaga hasa dpartment yangu, labda ww ulikua huko kwenye ma agrikacha
Btw i saidi wat i said you are allowed kukataa ni haki yako
πππ pole usijifanye unanijua sana etiUtakuwa ulikuwa kampus ya mazimbu huko ndio mmejaa.
Nikuache au unazani tupo kitandani nakupelekea moto.We ndo uache ujinga beside kila mtu hapa anasema from their experience wewe sasa inakuuma nn
Niache em
Nifungulie pm mtoto mzuri, kubishana na warembo huwa siwezi me nidhaifu kwa watoto wazuri kama weweππππππ pole usijifanye unanijua sana eti
Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu [emoji38][emoji848][emoji848] just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
ni mabingwa wa kusaka vyeti tu lakini ni hopeless kabisa.Wakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu ππ€π€ just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
Wazalamo au Wazaramo hamna kitu kazi yao ni ngoma tu mkoa wao wa Dar anateuliwa mtu kutoka mikoani kuja kuwa mkuu wa mkoa serikalini sijui wana cheo gani.Mimi ninachojua wenye akili ni wazalamo
Umesema kweli, kuna mikoa ina umasikini na ufukara hii nchi na huko wanatoka ma PhD Holders kibaoni mabingwa wa kusaka vyeti tu lakini ni hopeless kabisa.
Kwa bahati mbaya nimetembea mikoa kadhaa hapa nchini, kagera kwa hao unaowaona ndiyo vinara wa elimu kuna umaskini wa kutupwa. usukumani wala nisiseme. Mkoa wa Tabora ndiyo balaa bora hata Singida. Ukisafiri barabara ya Nzega-Tabora, utashangaa umaskini uliopo eneo hilo, watu bado wanasafiri kwa baiskeli. Ni aibu ndiyo majimbo ya wabunge wanaojiona vinara.
Ukitaka kujua hali za umaskini au utajiri hata ikiwa safarini utaona tu. Ukisafiri nchini, mahali ambako utaona dalili kubwa ya juhudi za watu kuupiga umaskini ni barabara kuanzia morogoro-mbeya-tunduma-sumbawanga. Hasa kuanzia mkoa wa iringa,. Ukishapanda kitonga unaanza kuona hali ya tofauti kabisa. Ni kama umevuka mpaka hauko TZ. Nyanda za juu kusini, hata ukiona mazingira ya miji na vijiji utajua kabisa wakazi wa mikoa hiyo (iringa, mbeya,Njombe, Songwe, Rukwa) hawana nonsense katika kazi na maisha, na hawajali habari ya kusaka vyeti.
Ushahidi ni hata wabunge wa majimbo yaliyo katika mikoa hiyo, ukimtoa Dr Tulia, wabunge wengi hawana mavyeti kubwakubwa kwa sababu wananchi mikoa hiyo huangalia uwezo wa mtu.
onyesha data za utafitiWakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu [emoji38][emoji848][emoji848] just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
[emoji122]Kuna mmoja aliwahi kupewa mamlaka mahali. Alikuwa bonge la kilaza. Hawana lolote. Wanaongoza kwa kukariri na kutumia nguvu kusoma. Wazito kuelewa hao. We labda hujui. Bora useme wanyakyusa au wachaga.
Akili za darasani sio dili mkuu. Akili ya maisha ndio kila kituWakuuu za sahizi,
Kwenye safari yangu ya elimu nime bahatika kukutana na wasukuma na wahaya wengi kwanzia shule za msingi mpaka saivi chuoni
Lakini jambo linalo nishangaza ni kuwa hawa jamaa wana akili mingi sana za darasani wengine hata hawasomagi ila combi ngumu ngumu kama PCM NA PCB wanabutua 1 za maana O level ndo usiseme kabisa mkuuu,,,,
Kuna mmoja alikuwa mpaka anamfundisha mwalimu ππ€π€ just imagine aseee
Anaejua historia yao naomba anijuze maana inashangaza sana
Hii imekaaje aseee mbona hawa watu wamejaaliwa hivi sana Mungu.
View attachment 2614449
sifa tuEti mnaulizwa Nshomile wa Muleba
Litoteswengine siwajui labda dr.musukuma classmate wangu wakati tunasoma masters jamaa alikuwa anagonga tu A za kutosha GPA ni 4.5 ou of 5