Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Ruge alipigwa 6M kila siku clouds media na kiburi chao chote ilifikia mahali walinyoosha mikono juu wakaomba wa TAG ubavu kwa wananchi!Kwanza alivunjiwa nyumba,, ikabidi ajenge ingine
Pili hela ikatumika kwenye kampeni na ubunge hakupata,
Tatu ameugua kila wiki cost milioni 4,,
Lazima atepete tu
Mie sitoi hata miaNimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.
Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?
Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?
Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.
Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.
Kutoboa bongo ni ngumu sana kwa sababu bado tunaishi kijamaa. Huwezi kuwa unacho ndugu wasilete shida zao na lazma uwatatulie kiungwana tu.Nchi yetu bado ni masikini sana hatuwezi kuacha kuishi kwa kuchangiana. Hata hao mnaodhani wana pesa nyingi kimsingi ni za kawaida tu. Watu walioyapatia maisha ni wachache sana, ni familia fulani fulani tu. Wengi tunawaona wametoboa lakini nyuma yao kuna utitiri wa majukumu yanayotokana na familia ndugu jamaa na marafiki ambao bado ni masikini.
Ukiona nchi ambayo unahitaji kuwa na mipesa mingi ili upate huduma nzuri za kijamii jua hiyo nchi bado masikini wa kutupwa. Acha tuchangiane ndugu. Yeyote akiletwa mbele ya jamii na ikathibitika anahitaji msaada wanaoguswa acheni wachange.
Na akipona aache kunywa pombe kaliMie sitoi hata mia
Kuna Kocha mmoja juzi uingereza Wamemchangia £60,000 kwa ajili ya cancer ya ubongo ya mke wake. Mashabiki wa Crystal palace wamechanga. Sio kwamba huyu Kocha hana mshahara mkubwa ila kuna magonjwa mkuu hata kama una Hela ni gharama kuyatibu.
Hizi Issue za Figo kupigwa tu Laser Hospitali Nzuri hapa Tanzania unaambiwa milioni 12, Hapo bado Hela nyengine za kitanda na mambo mengine madogo madogo, na Hapo uombe Mungu isirudie kama Unarudi Rudi hospitali na Ugonjwa unakupelekesha muda Mrefu ndo Hapo unaona mtu anatembeza Bakuli.
Sio masihara kwa week million 4 aisee! Watu wana kiburi cha uzima wengi humuAcha uongo, familia imeenda clouds na kuhitaji mochango na wamesema kea wiki inatumika mil 4 ni nyingi wanaomba washikwe mkono
Hizi bima zimekaa kiwiziwizi tu, mimi nadhani kila mtu angekuwa na akaunti yake ya bima ambako fedha anayokatwa iingizwe huko na the only way anaweza kuitumia ni kwenye matibabu tu, kwa maana ya kwamba mtu anaweza ku accumulate fedha ikamfaa siku akiwa na uhitaji wa matibabu ya gharama ya juu kabisa kuliko hii ya kupimiwa kiwango cha tiba wakati fedha ni yako mwenyewe
Kiongozi sawasawa kabisa NHIF ipo kiwiziwizi mie mwenyewe muhanga nilichangia miaka mitano baada ya kutumbuliwa na KAYAFA bima ikakoma wana utaratibu mbovu sana eti mpaka uchangie miezi 120 yani miaka 10 mfurulizo ndio unakidhi kigezo cha kutibiwa maisha yote.Hizi bima zimekaa kiwiziwizi tu, mimi nadhani kila mtu angekuwa na akaunti yake ya bima ambako fedha anayokatwa iingizwe huko na the only way anaweza kuitumia ni kwenye matibabu tu, kwa maana ya kwamba mtu anaweza ku accumulate fedha ikamfaa siku akiwa na uhitaji wa matibabu ya gharama ya juu kabisa kuliko hii ya kupimiwa kiwango cha tiba wakati fedha ni yako mwenyewe
Kuna mwanasiasa na mwanasiasa! Binafsi ningezisikia ni yule mbunge chotara wa kuitwa Azan Zungu ningefungua nyuzi hata 50 kuhamasisha apambane na hali yake sababu ni mtu wa hovyo asiejali utu!Mkuu dunia hailingani.
Usipotumia AKILI dunia hi, utajikuta unatumika mpaka mwisho wa Maisha yako.
Hivi hujawahi kusikia msemo kuwa, wewe ukiwa huna gari unaombewa upate ila Kiongozi wako wa kidini akitaka gari ANACHANGIWA😀
Imagine,
Mwanasiasa anahitaji Support yako:
Utatunga nyimbo utamwimbia sana, na kumsindikiza akachukue fomu ya kugombea.
Utaondoka nyumbani kwako, utaenda kwenye mikutano yake ya kampeni kumpa support.
Siku ya KURA utasimama JUANI siku nzima kumpigia kura.
Ukishampigia kura inabidi usubirie kituoni kulinda kura ili asiibiwe.
Akiibiwa inabidi uandamane upigwe mpaka atangazwe kuwa yet ndio mshindi.
Pamoja na kulipwa mabilioni, akiugua Ni lazima achangiwe.
Watanzania Ni WAKARIMU sana, na Kuna watu weshajua hili na wananufauka nalo kill siku.
Hasa Wanasiasa na Wasanii.
Angemchangia sababu Prof. Jay hakuwa na noma nae kabisa. Ni mbunge amabae alifata mambo yake hakuwa na tabia za kimalaya kama akina “Heavy Bweka”Limagufuli lingekuwepo lingetoa pesa maana kuna wakati lilikuwa na roho ya kuguswa
Huyo Dogo mxenge kweli aisee figo iacheni ikiamua kuleta kirambasi ujue kama huna hela watu wapange taratibu za mazishi tuNakumbuka kulikuwa na ofc nafanya Kaz moja Kati ya maboss wa hyo kampuni aliuguwa figo michango ikachagwa na jama Ni doni tu nae siku moja nikasikia majungu kutoka kwa kijna wa boss akisema tunamchangia mtu ambae anajenga nyumba dsm tegeta .. kweli watu wanachangishana
Mzigo unafika 4M kwa week mzee! Unahitaji kuwa na serious investment kukabiliana na hilo Gap!Aahaah wapi mkuu, dogo wake wakishirikiana na mke wake walikiri mzigo wa matibabu umekuwa mkubwa hivyo wanahitaji huruma za watanzania wanyonge waweze kufanikisha hilo zoezi la jamaa kupewa matibabu..
Figo isikie mkuu, ikiwa comprimized sana inasababisha MOF, so guess what will be next?? Hapo ni coma then caput..
Unafikiri ukiuza VX ndio umemaliza tatizo! Ile gari ya Prof. Jay kama itatoa hela sana labda 40M!Wauze Landcruiser VX au shamba huko kwao
Nahisi atakuwa anaisikia tu hio Dialysis! Ana kiburi cha uzima huyu hajui kuumwa inakuwaje!Mleta mada unazifahamu gharama za dialysis kweli?Tumuombee tu mwenzetu...Na acha watu wenye Moyo wa kutoa wamchangie....achana na hii kampeni
Ruge alikuwa anapigwa 6M daily jamaa wakawa wamepiga kimya ilipofika mzigo umegonga 650M ilibidi wafunguke tu kuwa mziki mnene jamani tunaomba mlioguswa tusaidiane😂!Ngoja siku figo ifeli ndy akili ikukae sawa
Unamkumbuka Ruge mtahaba? Bakuli zilivyo pitishwa?
Dah kumbe hata haya ma broilers na maziwa and all that yana chemical za ajabu?Use Antibiotic when necessary and let it be the last options bro…
Pia unaweza kuwa na good lifestyle ila unakuta vyakula tunavyokula hasa hawa broilers, mayai, maziwa unakuta yana antibiotic residues kama zote…
Sidhani kuna mfugaji ambaye yuko tayari ku discard maziwa, mayai kisa ametoka kutibu mifugo yake..
Public health is still a big proble kwetu waafrika kwa ufupi tumejawa na ubinafsi sana kutokujali afya za walaji.
Naonaga pale Mloganzila mgonjwa anaporuhusiwa ndugu wanavyofanya vikao pale chini vya michango ya kulipa bili ndio mgonjwa atoke.
Hao ndugu wenyewe ukiwaangalia wengi hata nauli ya mwendo Kasi ya kimara ni shida, wamekauka midomoo.. Sasa Kuna huyo mkuu wa msafara yeye anapiga simu kwa ndugu wa mbali na kile kitecno triple line.
Kuna binti mmoja aliambiwa akalipie elfu kumi na sita ili apigwe x Ray.
Aliruka hatua kumi na sita huku akilalamika ashamchungulia daktari kwa elfu ishirini bado alipie x-ray ndio alipie dawa? Kwani waganga wa jadi wameisha?