Ndoto za mchana. Sahau.Mambo yameanza kunoga kwa wapinzani wa kweli na kuwa segemnege ndani ya CCM.
Tazameni Waitara anavyolia kama mdoli mbele ya wana habari.
Naona sasa mkoa wa Mara unaenda kurudi kwa wana Chadema na safari hii inawezekana tukachukua majimbo yote ya mkoa wa Mara.
Umeonaeeeeeee? Safari hii watalia wengi sanaUsaliti haujawahi kumuacha mtu salama
Wewe ni mgeni maana kwenu ni Burundi mlimfuata kaka yenu[emoji16]uzuri wote sio wageni kwenye hii nchi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Atakwambia ni sababu ya pombe tu
Lile zee limenishangaza sana hivi watoto wake wanajiskiaje?Mara mmeanza mambo ya aibu sana, hili baba linadeka hadharani.
Hasa wanachama [emoji848]Hii nchi ina-watu wa hovyo sana.
Chama bado lipo lile lile na tena mmelambishwa asali kazi kwishaWewe ni mgeni maana kwenu ni Burundi mlimfuata kaka yenu
labda ndo sbb hakushirkishwa. pia labda ndo sbb hakuteuliwa chchte. ajue pia walimvumilia vya kutosha na kuwa anatakiwa awe mvumilivu kama tulivo waTz wengine tunao kabiliwa na madhila mblmbl yatokanayo na shida lukuki zinazotukabiliNamfahamu sana Waitara. Hapo alikuwa anamwaga chozi kwasabb ya ulevi (he shed tears under alcohol influence) . Akishalewa Waitara huwa ndiyo zake kulialia.
Waandishi wa habari waliokuwepo wakiwa wakweli wanaweza kuthibitisha hili.
Kinachomtesa ni njia aliyoamua kuifuata tangu alipo ukana Chadema.Mara mmeanza mambo ya aibu sana, hili baba linadeka hadharani.
Kulia machoziHawa ni wanasiasa wa Mlengo wa Kulia
Anasema haoni dalili za kushinda 2025kafanywa nini
Unachangia mada ipiMusoma Mjini Always huwa ni ya CCM. Wapinzani huwa wanajisumbua pale