johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Analia amemkumbuka baba 😂Ukiwa mbunge wa Mchongo utaheshimiwa na CHAWA tu tena kinafiki mno
RC mjeda hawezi kuhangaika na mbunge wa Mchongo atakupa amri tu
Ramadan kareem!
Ikibidi afeAnajutia dhambi ya usaliti huyo...
Exactly.Hasa wanachama [emoji848]
Wachana na huyo mvuta bhangeUnachangia mada ipi
Alikuwa Rais wa UDSMAlilewa tu... Nawaza ilikuaje Jiwe akampa uwaziri ... Hata akiwa MB wa cdm alikua ni hopeless tu yeye na pombe pombe na yeye...
Jiwe alikuwa mbaguzi sana na ilipelelea achague viongozi kikanda hata kama hana sifaAlilewa tu... Nawaza ilikuaje Jiwe akampa uwaziri ... Hata akiwa MB wa cdm alikua ni hopeless tu yeye na pombe pombe na yeye...
Watokao Mkoa wa Mara siyo Wapuuzi kama huyu Mtu na Bichwa lake Kubwa kama Gear Box ya Lory ( Gari ) la Leyland.GENTAMYCINE au talented hawez kutia neno kwa mwaume mwenzake wa mkoa wa mara.
Waitara fara sana kulia hadharani.
Nna kisa chake kimoja alikuwa amepiga mtungi kila nkikumbukagaNamfahamu sana Waitara. Hapo alikuwa anamwaga chozi kwasabb ya ulevi (he shed tears under alcohol influence) . Akishalewa Waitara huwa ndiyo zake kulialia.
Waandishi wa habari waliokuwepo wakiwa wakweli wanaweza kuthibitisha hili.
Au ni Q ChillaSijawahi kuona Chifu analia!!! Huyu hawezi kuwa Chifu wa Wakurya labda ni chifu kiumbe au Q Chief !
Kuwa rais wa udsm sio hoja.. kipindi hicho viranja wa vyuo walikua wa kawaida tu... ni sawa na monitor au kaka mkuu.. unajipendekezaaa na unakuta kila mtu hahitaji uongoz ukute na kipindi hicho udoso fee haikuepo so sio ajabAlikuwa Rais wa UDSM
Yani yule jamaa ata cjui alikua na reasoning gani kwenye maamuz yakeJiwe alikuwa mbaguzi sana na ilipelelea achague viongozi kikanda hata kama hana sifa
Yeye alikuwa ni kukomoa mbaya wake au yule asiyekubaliana na matakwa yake.Yani yule jamaa ata cjui alikua na reasoning gani kwenye maamuz yake