Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Watanzania waoga hivyo alivyoongea kuna watu washatetemeka utaskia "tusameheee mh!! mamkweo anaupiga mwingi baba"!!! Mkikosea tuogope kukosoa maana hamtakubali hata kidogo???

Wewe waziri Tamisemi sio? Karne hii mwalimu kaenda kusimamia mtihani wa taifa darasa la saba analala chini manake Nini??

Naskitika sana nimegombana na mke wangu nimedraivu kwenda kumtoa akakataa Kwa woga atafukuzwa kazi, kapelekwa vijiji vya mbaliii, mwanamke mwenyewe wengine madume, umeme hakuna, analazwa ofisini Tena chini... is that fair??

Ndoa yangu Iko salama hapo? Mkeo angeenda? Au saivi yuko kwenye kiyoyozi na kitanda Cha milioni 7 Toka ulaya kwanguvu ya mamkweo na kodizetu?!!?

Mnawatesa na kuwatisha walimu/wananchi halafu mnafokafoka kama mnajua mnachofanya!!! SHAME
Pole sana bro.
Halafu dunia ina maajabu yake ase. Huyo mkeo ungemlaza chini wewe si angeshitaki kwa wazazi na washenga kwamba unamnyanyasa.

Hawa CCM mungu anawaona!! Nchi hii wameweka double standards za waziwazi yaan. Yaan kuna wala nchi na wajenga nchi.
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Mnyororo wa madaraka
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi

Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
ingekuwa kenya huyu ange pewa vidonge vyake na wakojako: "pumbavu zake"
 
Hana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Noted
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Anazungumza ujinga. “Kuchezea serikali” na “kutomasa tomasa serikali” ndiyo nini? Halafu linabebwa na mama mkwe kama Makamba. Jitu hovyo hata kama hili linapewa madaraka kupitia mgongo wa mbunye. Pumbaavu kabisa.
 
Kuitomasatomasa Serikali 😂

Nilisema hapa Jf kwamba Waziri wa TAMISEMI ndio anapaswa kuwa Naibu Waziri mkuu kutokana na Jiografia ya Mamlaka yake

Jana nimemsikia Waziri wa TAMISEMI akiuwasha 🔥 Rufiji sasa moto kama Ule si rahisi kuwashwa na Waziri wa Nishati au Wizara nyingine yoyote labda Mambo ya Ndani kama enzi za Lyatonga

Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi 😄
 
Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?

Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?

Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Kibri[emoji735]
Kiburi[emoji818]
 
Kwani Kuna kipi Cha ajabu kaongea? Amesema wote mtakaojaribu kuvuruga amani ya Nchi mtashighulikiwa na hizo Haki za binadamu hazitawasaidia.

Wasio julikana wamefikishwa kwenye icc ipi Hadi saizi?
Mwendazake aliponea chupuchupu , akatwaliwa
 
20230913_150410.jpg
 
Serikali Ndiyo yenye jukumu la msingi la kikatiba la kulinda wananchi,

Sasa Serikali inatishia usalama wa raia? [emoji848][emoji848]

Hivi anajua kuwa mwananchi ndiye mteja/Mfalme anayetoa dhamana ya kuongozwa kikatiba?

Unamfokeaje boss alokupa dhamana ya uongozi kikatiba?
 
Back
Top Bottom