Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Kuna lugha ya kuongea Na wananchi.

Kwenye mataifa ambayo watu wanajielewa hutasikia mwananchi akitishiwa maisha na serikali.

Inashangaza mno bongo! [emoji848][emoji848]
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu."
Nimeyakumbuka maneno ya Rostam Aziz..!! SIMU MOJA TU KILA KITU KINABADILIKA
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu."
Laiti huyo Nyerere angelikuwepo angeliruka na hawa wahuni kama chopa!
Wanashiba kuvimbiwa alafu wanaropoka ovyo kutumia jina la JK Nyerere! Pumba kabisa!
Anyway... naona kifua kikubwa mkaza mwana kaanza kujimwambafy!😂😂
 
Hana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Uko sahihi huwa nakuwa sana maeneo hayo hasa Kibiti, Mkongo, Utete, Ikwiriri, Nyamwage mpaka Somanga ufukara ni mkubwa wageni hasa (Wasukuma) ndo wenye hali nzuri kwa wastani maana wanafuga, kulima na kufanya biashara miundombinu ni changamoto ikifika kipindi cha mvua. Naambiwa Ikwiriri/Mkongo (28km) iki kwenye hatua za kuwekewa lami sina hakika juu ya hilo.
 
Hana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Nchengerwa pitia hapa Jf upige screenshot hii comment
 
Labda anawaambia magaidi, maana huko jimboni kwake kuna shida huko.
Wakati magaidi wametamalaki kwenye Jimbo lake alikua wapi asiwashughulikie . ?

Kenya huwezi kuwatisha Watu Kwenye siasa.

Siasa zijibiwe kisiasa na Sio kuuana . Kuua Watu Kwa sababu ya siasa ni ugaidi .
Asiltuletee hulka za magaidi.

Hii ni Nchi huru na ya Kidemokrasia Kama Hana moyo Wa kuvumilia kukosolewa basi aachane na siasa.
Ni Wazi KUWA Afrika watawala ni Wezi na wabadhirifu Wa Mali za UMMA. Wanajificha Nyuma ya vyombo Vya Dola.
Nchi zinapopinduliwa Watawala ndio wanakua Wakwanza kukimbilia ugenini Kwa sababu hawana Uzalendo na Nchi zao. Kazi za watawala wengi Afrika ni kujiona miungu Watu na kuweka Sheria za kutoshtakiwa .

Tatizo tuna Upinzani uliojaa Wala rushwa na vibaraka Wa CCM. Lakini Kwa Hali ilivyo wapinzani mpaka Sasa walitakiwa wawe wameshaajipanga Barabarani kumpinga huyo waziri Mpaka atolewe madarakani vinginevyo ni maandamano yasiyo na kikomo. Kauli Kama hizi wakati Wa Magufuli zilianza kutolewa kidogo kidogo Huku wapinzani wakiwa wanakenua meno na kulaani Kwenye mitandao Kwa maandishi. Matokeo yake waovu wakajipenyeza na kuanza kuua Watu na Kupiga Watu risasi.
Huu ni ujuha . Wanaolengwa ni Chadema lakini wamekaa kimya . Chama chenye vijana wengi kuliko Vyama vyote kinakua ni chama kondoo . Kwenye siasa za kutafuta madaraka woga ni Nguvu kubwa ya waovu ndani ya mifumo ya wezi . Wezi walijipanga muda Mrefu Tangu azimio la Arusha mbinu za mabeberu kuchukua Tena hii Nchi zilipangwa Kwa muda Mrefu na Sasa wamefanikiwa . Walianza na Azimio la Zanzibar . Wachache wakamiliki uchumi Wa Nchi wakishirikiana na mabeberu kutoka nje . Wakafanikiwa . Wakafanikiwa kushika Chama ,wakafanikiwa kushika Dola . Sasa wanataka kurejesha himaya ya kibeberu Tanganyika Kwa Kasi ya ajabu. Wanajua Watu wengi wanapenda Fedha hivyo rushwa ni mtaji wao Mkubwa . Wataingia mpaka Kwenye vyombo Vya Dola . Watapenyeza fedha ,wataingiza ,Sílaha ,wataanzisha mafunzo ya kigaidi Kwa Kasi ya ajabu . Nchi itajikuta Haina Nguvu Tena . Dola itakua Haina uelekeo wataiba Mali za umma Huku wakiemeza propaganda za kidini na kikanda.

Chama legelege huzaa Serikali lege lege.
CCM Imekua legelege .
Nchi Haina mbeba maono.

Wapinzani wamegawanywa Kwa sababu Wanapoona udhaifu Wa CCM wanadhani kuchukua madaraka ni rahisi matokeo yake Kila mmoja anawaza Urais Badala na kupingana wenyewe Kwa wenyewe.
Wanasingizia Katiba . Hakuna Nchi iliyoshunda mapambano ya Kupinga uhuni Wa watawala Kwa kusaidiwa na Katiba . Wahuni wanaondolewa Kwa mikakati na wanakuja kuadhibiwa Kwa katiba yao na kuonddoshwa kabisa Kwenye ulimwengu Wa siasa. Siasa inahitaji Imani za kimungu au miungu. Siasa inahitaji mpaka uchawi na kuwasomea Albadiri waovu Mpaka wawe kama vichaa waanze kuvhanganyikiwa na KUWA kama vichaa. Siasa inahitaji mipango na fedha . Siasa inahitaji kujitoa Kwa hali na mali.
MTU anapokwenda kuwapigania wamasai ni Lazima aomyeshe moyo Wa uaminifu, ukweli , Huruma , Imani kubwa na ujasiri. Wamasai waweze kuuza Hata n'gombe na kutoa michango Kwa Wingi Ili kujenga Nguvu ya kiuchumi. Wanasiasa maskini WASIOJUA kesho yao ni rahisi sana kununuliwa kama aalivyonunuliwa Zito Kabwe .
Kabwe alikua mpinzani Mzuri sana Lakini akawa na tamaa ya KUWA Tajiri kama Mbowe bila kuangalia historia ya Mbowe. Matokeo yake Zito akawa mfanya biashara Wa kisiasa na mamluki Wa Watawala nafisadi. Kweli ndoto ya tamaa yake imetimia .

Wapinzani Wa kweli ni Lazima wapinge kauli hizi za walevi Wa fedha na madaraka ya umma wanaotoa maneno ya kuwatisha Watu na kutishia uhai Wa Watu Kwa sababu hii Nchi SIO Mali Yao . Kama Wanapigania Maslahi ya umma wangelunda rasilimali zetu na kuwawajiibisha Wezi kule Bandarini ,TRA na Benki kuu na Huko Halmashauri. Mchnengelwa amepewa wizara iliyojaa ufisadi Kwenye Halmashauri Badala ya kupambana wezi anataka kuondosha uhai Wa wanaowakosoa wahuni.

Wahuni Sio Watu wazuri.Tuwakatae wahuni. Wahuni walimtisha Ndugai,wahuni walimtisha Bashiru Ali Wahuni walimtisha Dr. Slaa. Wahuni walimtisha Komredi na mzalendo Polepole.

Ni Lazima tuangalie hii Vita Kati ya wema na ubaya Kama inapigania maslahi ya umma au maslahi ya mabeberu na mawakala wao.
Je,wanaounga mkono wanaunga mkono Kwa sababu ya Nia njema Kwa Taifa au Kwa maslahi Yao Huku wakineemeka Kwa ufisadi Wa Mali za umma. ?
Bila shaka Waovu watashindwa Kwa Nguvu za Mwenyezi Mungu Muumba Wa vyote mana wanacheza na Mali za umma Kwa mgongo Wa chama kilichoasisiwa Kwa ajili ya Kupinga Unyonyaji na Sasa wamekigeuza KUWA Chama Cha mabeberu.
Ni Lazima mabwanyenye ama waondoke ndani ya CCM au waondoshwe na CCM waliyoiteka .
Freedom is coming 2024 - 2025.
 
Kule Kibiti na Rufiji kulikuwa "terrorist safe haven"...

Mh.Mchengerwa anaongelea wale magaidi waliokita kambi huko na kutaka kutuchomea moto nchi yetu.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tunajua wengi waliopata mahela haramu ya kugombea Nafasi za Ubunge kwenye miaka ya CCMabeberu walizipata ama Kwa mgongo Wa kuwaficha magaidi au Kwa madawa ya kulevya .
Ndiyo maana JPM alipambana na wauza unga na alizuia fedha kutoka nje kuingia kwenye taasisi Zote nje ya Serikali.

Upoo hapo mkuu!!!
 
Mathalani hivi Mbowe ni wa kumbagua mh.Rais kwa UZANZIBARI wake ?!!

Hii si "bigotry" kweli ?!!

Nini madhara ya baguzi hizi?!!!

Havoc

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Anabagua matendo yake .

Alianza Vizuri na akasifiwa na sifa nyingi pia zilitaja uzanzibari wake .
Leo akikosolewa akubali kukosolewa kama alivyo.
Haiwezekani Tanganyika yenye Watu mil. 60 Ardhi yake inataka kuuzwa Kwa Watu wasiozidi mia Kwa sababu tu ni Matajiri . Big Not.
Wajukuu zetu watakua watumwa na Nchi haitakua na Amani kabisa kabisa .Hapatakua na Nchi itakayoitwa Tanzania Kama watanzania hawatakua na ardhi.
Tuna Amani Kwa sababu watu wanaardhi zao za asili . Watu wanapuuza maandamano Kwa sababu wanaardhi zao wanapoweza kuamka asubuhi na kwenda kulima Hata sukuma wiki wakala wakalala maisha yakaemdelea.
MTU akimaliza shule kule Kijijini anaweza akaingia porini akalima Kila Mwaka akiwa na matumaini ya kupata Siku moja na kutoka kimaisha. Hali inayompa Amani na utulivu.
Mnawapa Wageni Ardhi yote baadae wajukuu zetu wataamka na kwenda kuomba ajira ya kupalilia au Hata kubuna au kulinda ndege kwenye mashamba ya wageni Badala ya mashamba Yao.
Hapo Amani itatoka wapi ?
Au Kwa mchengerwa Amani ya Nchi ni CCM kukaa madarakani na yeye kupata uwaziri na kujilimbikizia Mali yeye na familia yeke bila kujali mamilioni ya Wengine walioumbwa kwenye Ardhi ya Tanganyika?

Watanzania wahamsishwe sana kuhusu huu uporaji Wa ardhi Yao na hatima ya watoto wao.
Baba zetu walitembea Kwa miguu na kujitolea kupigana na Nduli Iddi Amini Kwa sababu alijaribu kupora ardhi ya watanzania kule Kagera .
Mgeni yeyote akijaribu kupora ardhi yetu ni adui Mkubwa Wa Taifa letu.
 
Lazima atape tape maana anajua mkwewe akiondolewa madarakani, na yeye automatically ataondoka.
Yaani nchi mharibu wenyewe hadi mnataka kuiuza kabisa, halafu watu waendelee kuwanyamazia tu?!
Anyway kama mmejiandaa kuua wakosoaji wa serikali, basi hii awamu yenu mtavunja rekodi, toka tupate uhuru kwa mauaji mtakayofanya.
Maana ni ukweli ulio wazi kwamba Watanzania wengi wamechoshwa na utawala wenu unaowanufaisha wachache na kuwanyonya wengi.
Kama kuna chama kinachokaa kimya tuu watu wake wauawe Kila Siku na Huku kingine kikishangilia basi hicho ni chama cha kijinga kabisa .
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu."
Waziri yeyote atayejaribu kuwachezea wananchi, hatamaliza miaka mitano kutoka sasa.
 
Serikali imejaa mafisadi, wazanzibari, waongo, wanandugu wanapeana vyeo na madaraka. Hapo vipi? Nishaichezea serikali? Sasa aje na ufafanuzi wa “kuitomasa tomasa serikali” au nayo ni taarabu za mwambao kama mama abdul alizokuja nazo majuzi?
 
...hivi nchi hii haina wadunguaji wa masafa marefu... naona shobo zinazidi...
 
Back
Top Bottom