Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Mali ipi aliyoiba?Watatufanya nini? Au atatuweka kwenye viroba?.
Yeye anaiba mali ya umma mbona hajafanywa kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mali ipi aliyoiba?Watatufanya nini? Au atatuweka kwenye viroba?.
Yeye anaiba mali ya umma mbona hajafanywa kitu
Amani ya nchi ilishaharibiwa na hao wanaopeana vyeo kindugu, sio wawajibikaji kwa faida ya umma bali ni wawajibikaji wa kuua, kuiba, na kuuza rasirimali za nchi.Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Ni kinanai hao?Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?
Nchi ya Mama mkwe wake hii Nani atamgusa hata akitupoteza tutapotea na mama mkwe atasema Mkwe Kila wizara anayopelekwa anafanya vizuri.Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
View attachment 2747361
Huko mloka ufukara zaidi ya ufukaraHana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Takataka!Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?
Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?
Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Hii jamii yetu imejaa ujinga sana tena sana. Wana basi lao moja linaitwa AKIDA upuuzi mtupu.Huko mloka ufukara zaidi ya ufukara
Ni hatari sanaHii jamii yetu imejaa ujinga sana tena sana. Wana basi lao moja linaitwa AKIDA upuuzi mtupu.
Kanavimba kichwa kwasababu ni mkwe ngoja ajichanganye kwa wahuniMchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
View attachment 2747361
Ukitaka wakuone wa maana wajengee misikiti na madrasa lakini shule za msingi au sekondari utaonekana adui yao mkubwa. Ujijga na kutojua kusoma na mtihani mkubwa sana mikoa ya kusini. Nadhani Rufiji inaongoza.Ni hatari sana
Amani na njaa havikai pamojaUnauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?
Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?
Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
View attachment 2747361
Kwani mimi ni waziri au Hata majina hufahamu kusoma. Hata hivyo Naunga mkono kauli ya Mh waziri.Yawezekana huyu ndiye Lucas mwashambwa mwenyewe ..
lini hii?Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
View attachment 2747361
Kwani mimi ni waziri au Hata majina hufahamu kusoma. Hata hivyo Naunga mkono kauli ya Mh waziri.
We want mtu atoe hoja (aje na good reasoning) na siyo kutoa vitisho. Wanaoichezea serikali ni wale wasiotaka katiba bora itakayokidhi mahitaji ya sasa ya Watanzania katika karne ya 21.Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.
Swali.
Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.
Hii kibri anapata wapi?
View attachment 2747361
Heheheh! Madam ukaona isiwe taabuYeyote.
MkweKwa hiyo ameongea Kama hayo kama nani Kwa mfano?