Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Nchi ya Mama mkwe wake hii Nani atamgusa hata akitupoteza tutapotea na mama mkwe atasema Mkwe Kila wizara anayopelekwa anafanya vizuri.
 
Hana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Huko mloka ufukara zaidi ya ufukara
 
Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?

Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?

Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Takataka!
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
Kanavimba kichwa kwasababu ni mkwe ngoja ajichanganye kwa wahuni
 
Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?

Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?

Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?
Amani na njaa havikai pamoja
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361
We want mtu atoe hoja (aje na good reasoning) na siyo kutoa vitisho. Wanaoichezea serikali ni wale wasiotaka katiba bora itakayokidhi mahitaji ya sasa ya Watanzania katika karne ya 21.
 
Back
Top Bottom