Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Mchengerwa: Yeyote atakayejaribu kuichezea Serikali hatutamuacha salama

Baba mkwe anasema kwa niaba ya mama mkwe
FB_IMG_1694602139744.jpg
 
Wamasai nao wamebumburuka wameludisha kadi.kidogo kidogo ngoja tuonyeshane makali
 
Hana maana huyo maana Rufiji kumejaa ufukara wa kutupwa hakuna barabara ya maana. Ukitoka pale Temeke Sudani kwenda Mloka unafika saa 12 jioni. Yaani kule kwetu nadhani kuna laana ya maisha. Huyo kafungia Kiredio anaonekana mkombozi kweli apambane na ufukara wa Rufiji yote halafu aje na viroja vyake. Huyu hakufaa kbs kuwa Waziri. Very bogus man.
Ujenzi wa Barabara ya Nyamwage - Utete inasuasua.
 
Kuna lugha ya kuongea Na wananchi.

Kwenye mataifa ambayo watu wanajielewa hutasikia mwananchi akitishiwa maisha na serikali.

Inashangaza mno bongo! [emoji848][emoji848]
Serikali ipi na nani katishia maisha ya mwananchi?
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu."
Kazi yake ya sasa ni kulinda cheo cha Mama Mkwe..... Period.
 
Watanzania waoga hivyo alivyoongea kuna watu washatetemeka utaskia "tusameheee mh!! mamkweo anaupiga mwingi baba"!!! Mkikosea tuogope kukosoa maana hamtakubali hata kidogo???

Wewe waziri Tamisemi sio? Karne hii mwalimu kaenda kusimamia mtihani wa taifa darasa la saba analala chini manake Nini??

Naskitika sana nimegombana na mke wangu nimedraivu kwenda kumtoa akakataa Kwa woga atafukuzwa kazi, kapelekwa vijiji vya mbaliii, mwanamke mwenyewe wengine madume, umeme hakuna, analazwa ofisini Tena chini... is that fair??

Ndoa yangu Iko salama hapo? Mkeo angeenda? Au saivi yuko kwenye kiyoyozi na kitanda Cha milioni 7 Toka ulaya kwanguvu ya mamkweo na kodizetu?!!?

Mnawatesa na kuwatisha walimu/wananchi halafu mnafokafoka kama mnajua mnachofanya!!! SHAME
Hii ni hasira kuu,,,,2025 sio mbali
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu."
Serikali inachezewaje kwa mfano? Ningependa hii kauli kali angeitoa dhidi ya ufisadi inge make sense mnoo!!
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu."
Anapoxema "yetu" maana yake nini?! Yeye na mkwewe? Na mkewe? Na wanawe? Au anatuhusisha wote? Ati " hatutamwacha salama". Matamko mengine yanatia kichefchef... loh!
 
Unauliza kibri anaipata wapi wakati anakemea watu wanaojaribu kuichezea salama na amani yuliyonayo?

Kwanini huwaulizi wajivuni wanaotaka kuichezea amani? Kibri hiyo wanaitowa wapi?

Au na wewe ni katika hao wanaotaka kuharibu amani ya nchi?

Amani ya nchi inachezewa na nani?
 
Mchengerwa ameyasema hayo akiwa Rufiji mkoa wa Pwani.

Swali.

Hivi nchi hii nani anataka kuvuruga amani?
Na Mchengerwa anadhani anatisha wengine yeye kama nani, yeye sio IGP, RPC wala sio waziri wa mambo ya Ndani.

Hii kibri anapata wapi?

View attachment 2747361

"Yeyote atakayejaribu kuchezea serikali hatutamuacha salama hata kidogo, hatutakubali hata kidogo. Misingi ya taifa letu Baba wa Taifa alikwishaiandaa, na sisi vijana wa karne hii tuliopata bahati ya kushuhudia utawala wa Rais wetu wa Awamu ya Kwanza [Hayati Julius Nyerere] tumesema taifa hili litaendelea kuwa na amani na utulivu."

Hili liko wazi. Hata mimi ukinichezea hutabaki salama. Labda iwe jumapili siku ya ibada, kidogo nakuwa na huruma.
 
Back
Top Bottom