Mchepuko akikuuliza maswali yafuatayo kuhusu mmeo au mkeo unatakiwa umjibuje?

Hapo usianze kuuliza subiri mchepuko wako akwambiw mwenyewe Wala hakuna haja ya kuuliza kabisaa
Asipokwambia je?? Huoni kwamba Ni risk Sana kuchepuka na mme au mke wa mtu ukiwa humfaham mme au mke wake?? Sku moja mke au mme wake akikuvizia kukupga Kama humfaham huon kuwa ni hatari Sana kwa usalama wako?? Mchepuko mwenye akili lazma amuulize anaechepuka nae kujua Kama ameoa au kaolewa na nani, pia anafananeje,haya maswali anatakiwa ayaulize kabla hata hawajakulana
 
Sijasemabhana umuhimu ila hapaswi kuleta maswali ya kutaka kujilinganisha na nyumba kuu. Kwanza anapaswa afahali halingani na nyumba kuu yaani kama ni hela yeye anapata chenchi chenchi za nyumba kuu.
Hiv unaweza ukaniambia Kat ya michepuko na wake za watu nan anapendeza Zaid kwa nguo za gharama??? Jibu Ni kuwa michepuko ndo inayoongoza kupendeza na kuvaa nguo za gharama kuliko wake za watu!! Sasa Kama michepuko huwa inapata hela za chenji imewezaje kupendeza kuliko huyo mkeo unaempa pesa nying ??? Pia jaribu kufuatilia watoto wa michepuko ndo wanaongoza kusoma shule nzuri
 
Napendaa vilee unajimwaga kuhoji ili kupataa ukweli Kuna kituu najifunzaa hapaaa asantee
 
Mkuu umemaliza maelezo yote asiye elewa hapa aende Mahakamani[emoji23]
 
Reactions: Luv
Mkuu umemaliza maelezo yote asiye elewa hapa aende Mahakamani[emoji23]
Nyiny tatizo lenu ukweli mnauficha,yaan mnabaki nao moyoni,harafu kwa nje ndo mnajimwambafai et kwa kusema mchepko Hana nafas kwa mke!! Ni uongo mno tena mno
 
Rule #1: Mchepuko ni marufuku kujilinganisha na mke kwa namna yoyote
 
Nikuulize wewe hata huyo mmoja Mkuu ni yupi
Wanawake wengi hampendagi kuweka Mambo yenu hadharan na ndo maana kwenye huu uz wanawake waliochangia Ni mmoja tu,wengne ni kujifanya kuwa hawajawahi kuchepuka!!! Hongera Sana mkuu Kama hujawahi kuchepuka
 
Wanawake wengi hampendagi kuweka Mambo yenu hadharan na ndo maana kwenye huu uz wanawake waliochangia Ni mmoja tu,wengne ni kujifanya kuwa hawajawahi kuchepuka!!! Hongera Sana mkuu Kama hujawahi kuchepuka
Mi nikiachana napata Mwingine,sasa kwann nichepuke mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…