Mchungaji Msigwa agoma kupanda gari za CCM, alakiwa na wana-CHADEMA

Mimi Hadi nimuone akiongea ndio ntajua nishangilie au nimtukane.
 
Kama Wakina Ujugu waliandika Meseji Aston villa samata apangwe hatushindwi kuvamia Account za mitandao ya kijamii ya Mashirika ya kutetea haki za binadamu pamoja na nchi za wahisani bila kusahau taasisi na vyombo vya kimataifa kutetea haki.
Una pointi mhimu hapa inayostahiri kuangaliwa, kuchambuliwa na kuona jinsi gani hili inavyoweza kutekelezwa.

Erythrocyte
,Mkuu 'lunatoc', ngoja nikuitie mwakilisha mahsusi, pengine anaweza kulifikisha hili wazo mahali panapofaa.

CHADEMA wakifahamu kuzitumia hizi mbinu vizuri, kazi yao ngumu inaweza ikahimirika kidogo, kuliko kutumia nguvu nyingi kumkabili adui aliyetayari hata kutoa roho za watu ili akidhi matakwa yake.

Chadema hakikisheni kila taarifa mnayoandika ya uvunjifu wa haki za binadamu mna-tag hivyo vyombo ili dunia ijue. Kuendelea kukaa kimya ndio silaha Yao Hawa wauaji

Erythrocyte,
Nakuita tena uliangalie hili jambo.

Hii vita ifanyeni iwe baina ya 'PoliCCM' versus 'Teknolojia', hapo mtaweza kuwa na nafasi ya 'kusavaivu'
 
Wenye masikio na waSikie. Akili ni nywele kila mtu ana zake
 
Sure...
Actions speak louder than words!
Actions prove who someone is, words prove who they wanna be
Don't talk, just act. Dont say, just show. Don't promise, just prove.
Actions always prove that words mean nothing.
Wenye vidomodomo hawajafanikiwa maishani. Ni mabingwa wa umbea
 
Mmm slow slow anahitaji akapikwe kwenye chungu cha porcelain huko uchina
 
Mjipepetue weeee mara paaaaap! Msigwa aachana na CHADEMA na kujiunga na CCM ndio mashavu yatakapo washuka
Najua mchungaji Msigwa Leo atatueleza kwa mini mpwa wake alienda kuoa kidemu cha ukoo Wa washamba huko chato wakati iringa kuna mademu wa nguvu tu pale Kitanzini
 
..hii inanikumbusha Simba walivyomsajili Yussuf Bana, halafu Yanga wakamsajili mchezaji huyohuyo kwa jina Yussuf Ismail.
Ha ha ha ha ha! Mkubwa umekumbusha enzi, ahsante sana. Halafu kesi ipo kwa Mwenyekiti ni Marijani Shabani au Said El Maamry.

Lakini kuna jambo ambalo sijui CCM kama wanaliona. Kuna resentment katika jamii. Hao wanaonekana ni sehemu tu hatujui kina cha hiyo resentment.

CCM inaishi kwa dola bila kujali hatari ya kutokuwa na taasisi imara.
Watu wanapoanza kutilia shaka eneo kama mahakama kuna tatizo hapo. Huko duniani yalianza hivi hivi.

Kuna message inapatikana kwa tukio hili. Nawashauri sana CCM wakatae tume huru ya uchaguzi au katiba kwa muda hadi hapo umma utakapomaliza muda wa kusoma vitabu vya Shah wa Iran, Caessisuc wa Romania n.k Kwa haya yanayoendelea kuna uhakika vitabu vinasomwa, swali, ni lini vimalizwa kusomwa?

Pascal Mayalla
 
Ahsante ankoo, sikulijua hili
 
Pale Ikulu ina-stoop so low inaanza kubishana nani kamlipia Msigwa kwanza? Bora wangenyamaza, aisee.. 😳
Issue hapa ni people's power wlikuwa na uwezo wa kumlipia na wakamlipia!
 
Mchango wa mh Rais umesaidia sana,
Chadema iliomba msaada wa michango Kwa wananchi wote Na Rais JPM kaitikia ombi lkn pia familia ya mchungaji msigwa imeomba msaada kutoka Kwa Rais Na Rais kakubali ombi, tatizo linatoka wapi?
Hongera sana Kwa Rais
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Umemsaidia nini wewe zombie ?.
 
Dah taasisi ya ikulu imepata washahauri wapu.mbafu mpaka wanamuingiza rais kwenye ujinga huu.

Kwa mwendo huu inawezekana kabisa hakuna washauri; badala yake kuna court jesters ambayo kazi yao nyingine ni kupokea tu maagizo kama yanavyotolewa na kuyatekeleza bila maswali.
 
Shetani ana vitiko jamani nyie acheni tu! Ila muda wa shetani unaelekea ukingoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…