atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaitwa ng'ombe
Mm nashauri hizo hela wapewe ndg wa marehemu AqwilinaNashauri wakazichangie kwenye akaunti ya M4C kwaajili ya kumalizia malipo ya Mr Chairman na Heche.
Kuna mtu kutuma slip chadema waliyolopia hapa jukwaani.Hamna bank slip hapo.
Sema umpe hongera kwa kutaka kufurahisha genge na kutafuta kiki. Chadema walishamlipiaHongera mh Rais JPM Kwa kumlipia faini msigwa
Siasa za CHADEMA bwana aliyesema CCM ndiyo imemlipia ni nani!. Hapa Magufuli kafanya yeye kama yeye baada ya ndugu kumuomba basi.
Eti nyie kila kitu Siasa duh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm huwa namdhauri mtu anaekuja na majibu eti NIMEONA KULE U TUBE ,namuona kama ni mgeni wa mambo hapa mjini ambae anategemea taarifa zake YouTubeWapi nimesema Wewe umefungua uzi ?
.
.
Nimesema napenda kuona TAIFA, mpaka hapo nazungumza General kwa Wote kwani Wewe ndio Taifa ?
.
.Channel Hizo uchwara huwaga wanaandika habari Sizo kupata Subscribers
Hapana Haufi, Sitoki [emoji41][emoji41]
Yaani mnifunge halafu mtake kuchukulia ujiko kutoka kwangu!!!!
Mbona CCM ina michezo ya kitoto sana?? Hii CCM inaelekea wapi?
Mm huwa namdhauri mtu anaekuja na majibu eti NIMEONA KULE U TUBE ,namuona kama ni mgeni wa mambo hapa mjini ambae anategemea taarifa zake YouTube
Sent using Jamii Forums mobile app
Mrema alipost bank slip ya malipo ya Chadema bankKuna mtu kutuma slip chadema waliyolopia hapa jukwaani. View attachment 1386089
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa:Habari,
Hii ni baada ya Polepole na team yake ya Lumumba kujaribu kutafuta Kiki ya kisiasa kupitia hukumu ya viongozi wa Chadema.
Naona walizidiwa akili, documents za ushahidi wa malipo Chadema wamezitoa lakini ccm hawajazitoa.
Naam. Hii ndio Tanzania mpya!Masikini ikulu, masikini CCM, masikini nchi yangu. Tumefikaje hapa?
Hahhaaaaa mnataka asimame ili akane mshiko aliopewa na kiyembi? Au mnataka afukuzwe chama aambiwe kaliliwa na CCM?Habari,
Hii ni baada ya Polepole na team yake ya Lumumba kujaribu kutafuta Kiki ya kisiasa kupitia hukumu ya viongozi wa Chadema.
Naona walizidiwa akili, documents za ushahidi wa malipo Chadema wamezitoa lakini ccm hawajazitoa.
An apple cant fall far from a freeSure nigga