Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Mbona unanilazimisha nifanye utakavyo?Furahia basi kamanda yupo huru kuendeleza mapambano! ✌️💪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unanilazimisha nifanye utakavyo?Furahia basi kamanda yupo huru kuendeleza mapambano! ✌️💪
Hapana ni hiari yako lakini kila mtu mwema hufurahia yaliyo mema!Mbona unanilazimisha nifanye utakavyo?
Wewe una akili za kikamanda uchwara.Hapana ni hiari yako lakini kila mtu mwema hufurahia yaliyo mema!
Si mpo kwenye maridhiano na kupeana asali
USSR
Tulikuwa tuna RPC sasa tuna RCO... ajira mpya jeshi la polisi ?kuelekea Ofisi za RCO Mbeya.
Sawa chawa uchwara!Wewe una akili za kikamanda uchwara.
Wewe na mdudu ni ndugu wa tumbo moja.Sawa chawa uchwara!
Weka mawasiliano kupitia ofisi yako sio namba zako binafsi. Fikiria una biashara kubwa ambayo kwa siku inafikiwa na watu labda 1000+ halafu umeweka namba zako binafsi pale, hali itakuwaje?Wala sio njaa..
Wewe umuuzaji wa biashara na nikawaida yako kuuza umeandika mawasiliano yako mwenye uhitaji akutafute kwahiyo huwezi kufanya mawasiliano ili ufanye biashara yako?
Malaya wa kisiasa mwenye tabia za kimalaya malaya . Umerudi tena nikajua umeshakufa na mwenda zakeMbona unanilazimisha nifanye utakavyo?
Hata mimi nilidhani umeshakufa, kumbe bado upo?...Umerudi tena nikajua umeshakufa...
Wenzako wote walipta laana ya Watanzania hawapo tena Wakudadavuwa@jingalaoHata mimi nilidhani umeshakufa, kumbe bado upo?
Kwa hiyo?Wenzako wote walipta laana ya Watanzania hawapo tena Wakudadavuwa@jingalao