Mdude Nyagali akamatwa na Polisi mkoani Mbeya. Aachiwa huru bila masharti

Mdude Nyagali akamatwa na Polisi mkoani Mbeya. Aachiwa huru bila masharti

Kinachomponza huyo jamaa ni njaa, huwezi kupigiwa simu za kuuza vitabu kisha ukajipeleka hovyohovyo tu.

Au alipumbazwa na zile propaganda za maridhiano?
Wala sio njaa..

Wewe umuuzaji wa biashara na nikawaida yako kuuza umeandika mawasiliano yako mwenye uhitaji akutafute kwahiyo huwezi kufanya mawasiliano ili ufanye biashara yako?
 
Nakusikia.
Huyo Mdude alikuwa akipiga kura ndio akamatwe?

CHADEMA mtasema mengi, mtasengenya, mtabeza...lakini mwisho wa siku hakuna atakaye wachagua.
Lakni Nyinyi mnaochaguliwa bila ya kuiba kura na kuteka hamwezi kupiga kura.
 
Lakni Nyinyi mnaochaguliwa bila ya kuiba kura na kuteka hamwezi kupiga kura.
Hayo yana uhusiano wa kivipi na mada ndugu yangu?Yote hayo unanisingizia ili iweje?
Waliojiteka wamerudi, waliojikimbiza wamerudi....na walitubu hawakuwa wakimbizi wa kisiasa...hayo ya pyu pyu pyu pyi anajua yeye Mkuu wenu na genge lake la mamluki. Magaidi wa Mtandaoni.
 
Hayo yana uhusiano wa kivipi na mada ndugu yangu?Yote hayo unanisingizia ili iweje?
Waliojiteka wamerudi, waliojikimbiza wamerudi....na walitubu hawakuwa wakimbizi wa kisiasa...hayo ya pyu pyu pyu pyi anajua yeye Mkuu wenu na genge lake la mamluki. Magaidi wa Mtandaoni.

Punguza utoto dogo.
 
Aisee,kumbe kuna wananchi wanaonunua kitabu kilichoandikwa na Mdude
Tena copy mbili mbili, ukiwa mzee, au mfaidika wa wizi wa CCM huwezi kununua maana hakitakulipa.
 
Kuna tetesi nasikia kuwa mdude Chadema amekamatwa muda huu anaelekea kwa RCO! Mdude chadema sumu ya nyigu

----
Polisi Mkoani Mbeya wamemchukua @mdudechadematz Muda huu Akiwa Soko la Kabwe, Askari walimpigia Simu Kama Raia wakihitaji Kununua Vitabu vyake, baada ya Kukutana nao wamemkamata kuelekea Ofisi za RCO Mbeya. Amenipigia akiwa Mikononi mwa Polisi. Tunawasiliana na Mawakili Soon.

UPDATES: Mdude aachiwa huru

Kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika haya
Nimeachiwa muda huu bila masharti yoyote baada ya kuhojiwa na jeshi la polisi @tanpol kwa masaa zaidi ya matano kwa kile kilichodaiwa maandiko yangu yanazua taharuki katika jamii. Niseme kwamba mimi ni sauti ya watu na kamwe sitaacha kupaza sauti dhidi ya viongozi wanapoharibu.

View attachment 2517855
Narudia Kwa Mara nyingine kuwaambia Chadema wamkanye huyu kijana, ni kichaa na hana akili, hana adabu hana heshima ajifunze harakati kutoka Kwa Godlisten Malisa.

Mnaompa kichwa endeleeni tu kumpoteza ila Mimi binafsi ni mpenda mabadiriko ni furaha yangu kuona Ccm inaondolewa madarakani lakini siwezi kuwaunga mkono wavuta bangi kama huyu Mdude.

Otherwise aseme ukweli uko jela kuna nani anayetamani awe naye mpaka kuilazimisha mamlaka ikukamate ili uende jela?
 
Kwani alikuwa na kesi ya halali au kubambikiziwa? Amshukuru mama Samia kwakuwa mahakama na sehemu ya kuendesha uonevu ama?
Kama mpo karibu na mtu huyu muelezeni ukweli hata sisi tunaosapoti harakati za mabadiriko hatumuungi mkono tabia yake mbovu ya kukosa adabu na heshima.
 
Mduse alishinda lini mahkama amshukuru mam Samia kumpa msamaha vinginvyeo angekula mvua bila huruma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
huyo naye atakuwa amemiss kukamatwa na mapolisi, kulikuwa na tetesi kwamba hadi yai lilishawahi kupasuliwa, labda ndicho anachokimiss. mtu mwenye busara hawezi kuwa na maneno ya taharuki kama mdude.
 
Punguza utoto dogo.
Tafuta mamluki wenzako huko, kaa pembeni kabisaaaa, usinitafute kibinafsi kama huwezi kujibu hoja....

utoto wangu uko wapi hapa. kwa hayo majibu chini???

Hayo yana uhusiano wa kivipi na mada ndugu yangu?Yote hayo unanisingizia ili iweje?
Waliojiteka wamerudi, waliojikimbiza wamerudi....na walitubu hawakuwa wakimbizi wa kisiasa...hayo ya pyu pyu pyu pyi anajua yeye Mkuu wenu na genge lake la mamluki. Magaidi wa Mtandaoni.


Kuna utoto gani hapo?
Naona toka nikuambie kuwa matamshi yako na maneno yako(lugha zako) yamejaa ukimbari, umeanza kunifuata fuata na wajinga wako wengine, mkishindwa hoja mnaanza kumshambulia mtu, mnaaanza kudeflect....niache wewe mzee tulia tuli, Usitake tuvunjiane Heshima hapa.... koma

Sasa kama unataka tujadiliane kwa hoja tuendelee, zaidi ya hapo wewe endelea na yako.

... ni kuhakikishie, Ukitema lugha za ukimbari nakula na wewe sahani moja kwa hoja.

...ukitema kejeli na mashambulizi kwangu(yaani personal attack) nakula na wewe sahani moja bila hoja.....

Sasa weka uzeee wako hapa nikupe za kitoto....Sikujui hunijui

Usijifanye unapoteza ufahamu au nipo mjinga kuona unajaribu kunidiskrediti.....yaaani ndio utanichafua zaidi nikuchafue.

Sijakaa hapa JF kwa miaka takriban 15 na yote hiyo, nisijue hulka za wanahudhuri wengi tu....nina mbinu nyingi za kujua 'multi frontal" "multi personal" plus systematic attack towards hoja, towards mwanahudhuri, na hata towards Jamii....siyo bahati mbaya signature yangu inasema Reducio Ad absurdum Usijitoe Ufahamu.

Amani
 
Tafuta mamluki wenzako huko, kaa pembeni kabisaaaa, usinitafute kibinafsi kama huwezi kujibu hoja....

utoto wangu uko wapi hapa. kwa hayo majibu chini???

Hayo yana uhusiano wa kivipi na mada ndugu yangu?Yote hayo unanisingizia ili iweje?
Waliojiteka wamerudi, waliojikimbiza wamerudi....na walitubu hawakuwa wakimbizi wa kisiasa...hayo ya pyu pyu pyu pyi anajua yeye Mkuu wenu na genge lake la mamluki. Magaidi wa Mtandaoni.


Kuna utoto gani hapo?
Naona toka nikuambie kuwa matamshi yako na maneno yako(lugha zako) yamejaa ukimbari, umeanza kunifuata fuata na wajinga wako wengine, mkishindwa hoja mnaanza kumshambulia mtu, mnaaanza kudeflect....niache wewe mzee tulia tuli, Usitake tuvunjiane Heshima hapa.... koma

Sasa kama unataka tujadiliane kwa hoja tuendelee, zaidi ya hapo wewe endelea na yako.

... ni kuhakikishie, Ukitema lugha za ukimbari nakula na wewe sahani moja kwa hoja.

...ukitema kejeli na mashambulizi kwangu(yaani personal attack) nakula na wewe sahani moja bila hoja.....

Sasa weka uzeee wako hapa nikupe za kitoto....Sikujui hunijui

Usijifanye unapoteza ufahamu au nipo mjinga kuona unajaribu kunidiskrediti.....yaaani ndio utanichafua zaidi nikuchafue.

Sijakaa hapa JF kwa miaka takriban 15 na yote hiyo, nisijue hulka za wanahudhuri wengi tu....nina mbinu nyingi za kujua 'multi frontal" "multi personal" plus systematic attack towards hoja, towards mwanahudhuri, na hata towards Jamii....siyo bahati mbaya signature yangu inasema Reducio Ad absurdum Usijitoe Ufahamu.

Amani

Usingepanick ningeshangaa sana. Ile sentesi ya mstari mmoja ndio umeleta hili gazeti lote! Utakaa tu dogo taka usitake.
 
Kuna mda mdude anaandika mambo ambaya hayana maana matusi kejeli kama tunampenda tumwambie ukweli tu
 
Usingepanick ningeshangaa sana. Ile sentesi ya mstari mmoja ndio umeleta hili gazeti lote! Utakaa tu dogo taka usitake.
Kaa chonjo wewe kibaraka. Hampati dola kamwe. Ngoja gazeti likuingie.

...na ukae ujiulize kwanini huwa unakurupuka kumtetea Msaliti aliyetubu usaliti kwa Wananchi anayetaka kuja kuwaongoza.

Pyu pyu pyu pyu
 
Back
Top Bottom