Mdude Nyagali akamatwa na Polisi mkoani Mbeya. Aachiwa huru bila masharti

Mdude Nyagali akamatwa na Polisi mkoani Mbeya. Aachiwa huru bila masharti

Taarifa ikufikie popote ulipo Usiku huu kwamba , Yule Mtu wa Mungu Mdude Nyagali , kada maarufu wa Chadema aliyeishinda serikali ya ccm Mahakamani , ameachiwa huru

Mdude alitekwa na Askari mamluki ambao bado wana akili za utesaji wa serikali Katili ya Magufuli , lakini kwa nguvu ya mitandao na hasa Mtandao wa JamiiForum , mamluki hao wameufyata na kumwachia huru .

Natoa Wito kwa Jeshi la Polisi na TISS kuondoa watu wote wenye akili za kinyama za awamu ya kishamba sana ya 5 .

Mungu ibariki Tanzania .

View attachment 2517817
Moja ya nukuu za JK zitakazoishi hata baada yake na zitakazomjengea heshima daima.
 
Ratiba ya Mikutano .Kanda ya NYASA .....kuna mtu anaunguwa na Joto la Mkutano kupigwa jimboni..

Mungu ibariki Chadema na WaTanzania wote wapenda HAKI
 
Taarifa ikufikie popote ulipo Usiku huu kwamba , Yule Mtu wa Mungu Mdude Nyagali , kada maarufu wa Chadema aliyeishinda serikali ya ccm Mahakamani , ameachiwa huru

Mdude alitekwa na Askari mamluki ambao bado wana akili za utesaji wa serikali Katili ya Magufuli , lakini kwa nguvu ya mitandao na hasa Mtandao wa JamiiForum , mamluki hao wameufyata na kumwachia huru .

Natoa Wito kwa Jeshi la Polisi na TISS kuondoa watu wote wenye akili za kinyama za awamu ya kishamba sana ya 5 .

Mungu ibariki Tanzania .

View attachment 2517817

Mtambuka, mr chopa karibuni muendelee kukenua
 
Mdude ni ndugu yangu kama ulivyo wewe mkuu. Basi na uwe huru kupokea ya kwake kukuhusu wewe.
Impressed by your humble reply.

Sina personal hatred kwa Mdude. Ninachokikosoa kwake ni tabia yake ya kuropoka, na ni suala ambalo anawakwaza hata wenzake ndani ya chama na hata wapo baadhi huwa wanamsahihisha mara kwa mara - tena waziwazi.

Kama chama kikuu na mpinzani halisi wa CCM hatupaswi kuwa na mentality kama za watu wa upande huo. Tunapaswa kuwa smart; tusiwape watu sababu.

Akibadilika ni kijana mzuri. Lakini anaonekana ni kichwa ngumu.
 
Chadema ina vijana wa hovyo. Mdude huwa anajihisi nani labda

Uhuru was maoni ni haki ya msingi ya mtu. Kama yanavyo heshimiwa ya kwako kuwa tayari kupokea ya wengine dhidi yako kokote uliko. Kwa hakika huo ndiyo ulio ustaarabu.
 
Impressed by your humble reply.

Sina personal hatred kwa Mdude. Ninachokikosoa kwake ni tabia yake ya kuropoka, na ni suala ambalo anawakwaza hata wenzake ndani ya chama na hata wapo baadhi huwa wanamsahihisha mara kwa mara - tena waziwazi.

Kama chama kikuu na mpinzani halisi wa CCM hatupaswi kuwa na mentality kama za watu wa upande huo. Tunapaswa kuwa smart; tusiwape watu sababu.

Akibadilika ni kijana mzuri. Lakini anaonekana ni kichwa ngumu.

Mkuu watu hawawezi kulingana. Zingatia tofauti ya kauli za mwendazake, JK, Samia nk.

Pamoja na yote ni muhimu tukatambua u tofauti wetu ndiyo ulio wa muhimu zaidi na hasa katika mapambano.

Mdude ana guts. Zinahitajika guts kuleta mabadiliko.
 
Hold on....✋
Simlisema maridhiano tayari..🤔
Nilishawaambia maridhiano yale ni ya bandia

Bado mtaona mengi na wengine tutaanza kuwindwa ili wamsaidie Muunga kazi halafu wamsingizie kazi yake haina makosa

Ni suala la muda tu
 
Taarifa ikufikie popote ulipo Usiku huu kwamba, yule Mtu wa Mungu Mdude Nyagali, kada maarufu wa Chadema aliyeishinda serikali ya ccm Mahakamani ameachiwa huru

Mdude alitekwa na Askari mamluki ambao bado wana akili za utesaji wa serikali Katili ya Magufuli, lakini kwa nguvu ya mitandao na hasa Mtandao wa JamiiForums, mamluki hao wameufyata na kumwachia huru.

Natoa wito kwa Jeshi la Polisi na TISS kuondoa watu wote wenye akili za kinyama za awamu ya kishamba sana ya 5.

Mungu ibariki Tanzania.

View attachment 2517817
Naye azunguke na Tundu Lissu waonyeshe makovu yao, tuwashangilie weeeeew piiiipooooooo
Kura: Hawapati
Wabakie kitamthilia kitamthilia watu bado wanapenda za bure manake hizi za bando hatuziwezi.


Ni vizuri kajiachilia.
 
Hapana wampige pumb kwanza akija mtaani atulie

USSR
Ndio mnayofanyiana huko lumumba??
JamiiForums1844732675_237x306.jpg
 
Huyu alisema atanyoosha Samia kama alivyosema mnyoosha Magufuli.wacheni amnyooshe

USSR
Sasa mbona mnamteka kama mnaona anamakosa kwanini msimwite akafika huko kituoni?

Ndio nguvu zenu zilizobakiaa kuzitumia tu za policcm nje ya hapo hamna uwezo wa kushindana na hata nzi.
 
Back
Top Bottom