Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Familia haijalia ndugu yao kukamatwa? Sijui sijakuelewaNdio maana Famikia haijalia ndugu yao kukamatwa......ndio tofauti hiyo
Maana taarifa inasema familia inalia ndugu yao kutekwa, siku 14 hawajui yupo wapi. Wewe umesema kutekwa hakuna, mm ndio nikakuletea hiyo habari