Mdude Nyagali akamatwa na Polisi mkoani Mbeya. Aachiwa huru bila masharti

Mdude Nyagali akamatwa na Polisi mkoani Mbeya. Aachiwa huru bila masharti

Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)

Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.

Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.

Hiyo ndio post yake ya mwisho ⏬
Huyo hajakamatwa, bali kachukuliwa kwenda kuisaidia Polisi ili kusaidia kupatikana kwa haki ya huyo aliyewekwa ndani kwa kesi ya mauaji wakati hajaua.
 
Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)

Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.

Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.

Hiyo ndio post yake ya mwisho [emoji675]
Duh ndio imemletea shida?
 
Huyu mdude Hana nidhamu yoyote na hujui maana ya uhuru wa kujieleza!! Yeye ni matusi na kuropoka mambo ambayo hata viongozi wake wakuu wa chama hawawezi kuthubutu kuyajadili yule ni Moko ! Aende akafundishwe nidhamu na uzalendo kuwaruhusu kufanya siasa haimaanishi mkavunje Sheria na kutukana viongozi shame!
Wakamgonge kwanza,akitoka atatulia,hashua zitakua zimeisha
 
Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)

Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.

Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.

Hiyo ndio post yake ya mwisho ⏬
Sasa hio post yake ndio imemletea sintofahamu sometimes Uhuru ukizidi sana ni mbaya sana,
 
Huyu Mdude,ni mmoja ya wanaharakati wanayokiharibia Chama Cha Chadema kwasababu analugha isiyo ya staha na ya kuudhi Kwa wengine Kwa mgongo wa Demokrasia,jambo ambalo si sahihi hata kama hukubaliani na wengine ila kuna lugha ya kufikisha ujumbe,hata tweets zake,unaona ni ngumu kuheshimika hata kama anahoja
 
Mdude hana busara kabisa. Huwa anayarafuta matatizo kwa nguvu zake zote. CHADEMA wanamjaza ujinga huyu kijana.
 
Yaani kukamatwa Kwa MDUDE Nyangali mmoja kunazimwa na mabadiliko ya mawaziri wawili!!!!

ALUTA CONTINUA.
 
Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)

Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.

Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.

Hiyo ndio post yake ya mwisho ⏬
Mdude ni jitu la hovyo kabisa
 
Nakusikia.
Huyo Mdude alikuwa akipiga kura ndio akamatwe?

CHADEMA mtasema mengi, mtasengenya, mtabeza...lakini mwisho wa siku hakuna atakaye wachagua.

Wanaochaguliwa ni wale wanaoletewa mabox ya kura kwa uratibu wa vyombo vya dola ili watangazwe washindi kwa shuruti.
 
Huyu hajapewa asali ya maridhiano naona yeye na Heche ndio wanatumia Lissu yupo kwenye waiting list akilipwa tu na mikutano itakwisha

Tulimuonya raisi Samia kuwa hawa barvicha hawa bebeki akaleta upemba ona sasa

USSR
Acha hizo ulimuonyea wapi?
Acha kujipa umuhimu usio wako dogo.
 
Back
Top Bottom