Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
English gani hiyo?Hujui english? 😲🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
English gani hiyo?Hujui english? 😲🤔
Unaiga wakenya?Zamu yenyu itafika
Labda weweUnaiga wakenya?
Huyo ni kibaka tu Tena teja kubwaMwanaharakati gani hakupita mikononi mwa polisi? Nyerere, Mandela, Maalim, Lissu au wewe?
Unafikiri kusema yenyu badala ya yenu ni ujanja?Labda wewe
Huyu alisema atanyoosha Samia kama alivyosema mnyoosha Magufuli.wacheni amnyooshePolisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.
Hiyo ndio post yake ya mwisho [emoji675]
Naungana na weweAmetekwa au amekamatwa? Kama amekamatwa tutoe nafasi kwa MAMLAKA ilimkata itatoa taarifa....
Kuwa mwanaharakati haina maana you're exempted from observing the laws and rules of the Country....
Maswala ya kuanza campaign za free someone kabla ya kupata taarifa sahihi ni ULIMBUKENI
Viongozi wezi wa kura hawataki kutukanwa, kuna matusi zaidi ya wizi wa kura?Maridhiano yalifikiwa kuacha matusi ya kuwatukana viongozi sasa mdude hamkumkanya
USSR
Hold on....[emoji113]
Simlisema maridhiano tayari..[emoji848]
Ila wengine tunadhani kibaka na teja babalao unaweza kuwa wewe
Wacha afinywe kidogo huyu kamanda uchwara[emoji23]
Punguza Huzuni, nendeni Kituoni kumpelekea Chakula. DahViongozi wezi wa kura hawataki kutukanwa, kuna matusi zaidi ya wizi wa kura?
Mdude ni Shujaa
Mbowe amewaonya nyie uchwara lakini mnajifanya hamsikii.
Polisi Mbeya wamemkamata Mpaluka Said Mdude Nyagali (@mdudechadematz)
Mdude Nyagali amekamatwa akiwa soko la Kabwe, alipigiwa simu na mtu aliyesema anahitaji kununua kitabu cha maisha ya Mdude.
Mdude alipokwenda kukutana naye, wakamkamata na wamekwenda naye ofisi za RCO-Mbeya.
Hiyo ndio post yake ya mwisho [emoji675]
Ujanja ni nini na yenyu ni ninini? Kwa taarifa yako hicho sio kikenya ni Kiswahili tena fasahaUnafikiri kusema yenyu badala ya yenu ni ujanja?